JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Umuhimu wa wimbo katika jamii

Tangu zamani watu wamekuwa wakitumia shairi au wimbo kufikishiana taarifa inayohusu kitu fulani. Pia shairi au wimbo umetumika kama hifadhi ya maarifa, hekima na sifa ya mtu maarufu. Wasanii wa muziki, watunzi na waghani wa mashairi na ngonjera, waandishi wa…

Yah: Tunamhitaji zaidi Mungu

Tunauanza mwaka mwingine kwa bahati tu, tulianza nao wengi na wengine nusura tumalize nao lakini haikuwa hivyo. Si kwamba hawakuwa na nguvu, la hasha! Si kwamba hawakuwa na madaraka, la hasha! Vilevile si kwamba hawakuwa wajanja, bali neno lilitimia juu…

Mafanikio katika akili yangu (12)

Katika toleo lililopita sehemu ya kumi na moja tuliishia katika aya isemayo: “Noel, mimi ninaona utafanya mambo makubwa, wala usikate tamaa,” alisema profesa. Noel alikuwa amekaa kwa huzuni akiwa na mawazo tele, maana alikuwa akifikiria kuhusu umaskini aliouacha Tanzania. Umaskini…

Polepole: CCM kutawala hadi 2100

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaingia katika Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu kikiwa tayari kimekwisha kujihakikishia ushindi kwa asilimia 70 katika ngazi zote zitakazogombewa. “Kutokana na jinsi tulivyojipanga, hadi hivi sasa tuna uhakika wa asilimia 70 ya kura za urais…

Wakenya wamganda Nandy

Tetesi zimesambaa huko Kenya kuwa nyota wa muziki nchini hapa, Nandy, ni Mkenya. Tetesi hizo zinaeleza kuwa Nandy alizaliwa na kukulia Mombasa nchini Kenya, ingawa hazielezi wazazi wake ni kina nani. Tetesi hizo zinadai pia kuwa hadi hivi sasa mrembo…

Rooney afunguka alivyoumizwa na kamari

Mwanasoka mahiri aliyewahi kukipiga kwa mafanikio Manchester United chini ya Kocha Alex Ferguson, Wayne Rooney, amekiri hadharani kuwa kamari ni moja ya mambo yaliyoathiri kiwango chake uwanjani kwa kiasi kikubwa. Rooney, ambaye wakati fulani alikuwa nahodha wa timu ya taifa…