JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Jamii ipinge vijana wanaotangaza uzinzi wao

Mwaka 2020 umeanza na kituko cha kufedhehesha pale vijana wa kidato cha sita wa shule moja ya sekondari mkoani Mbeya walipoitaka serikali iwafanyie mpango wa kupata ‘kondomu’ ili waweze kujikinga na madhara ya uzinifu kama vile ugonjwa wa ukimwi na…

Kujaribu kujiua ni ugonjwa, haipaswi kuwa jinai

Siku kadhaa zilizopita Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tabora, Barnabas Mwakalukwa, amenukuliwa akisema polisi wataanza msako wa kuwabaini, kuwakamata na kuwafikisha mahakamani watu wote wanaotarajia kujinyonga mwaka huu. Kamanda Mwakalukwa anatukumbusha kuwa kazi yake ni kutekeleza sheria au kuchukua…

Lamadi yapata mwekezaji kutoka Malaysia

Wilaya ya Busega mkoani Simiyu imefanikiwa kumpata muwekezaji kutoka Malaysia atakayewekeza Sh trilioni 6 kwenye Hifadhi ya Kijereshi ili kukuza utalii katika eneo hilo. Hayo yamebainishwa na Mbunge wa Jimbo la Busega, Raphael Chegeni, wakati wa kuhitimishwa kwa tamasha la…

Jibu la msamaha ni msamaha (2)

Leo kupitia makala hii naomba tuwekane sawa katika mahusiano yetu. Dunia haiwezi kuwa salama bila msamaha. Familia yako haiwezi kuwa salama bila moyo wa msamaha. Lewis Smedes anasema: “Mtu wa kwanza, na mara nyingi ndiye ambaye huponywa na msamaha, ni…

HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (12)

Ukiua muda unaua fursa Muda una mbawa za kupaa, utumie vizuri. William Shakespeare, mshairi na mwigizaji alilalamika: “Nilipoteza muda; sasa unanipoteza.” Ukiwa mtoto, muda unatambaa. Ukiwa kijana muda unatembea. Ukiwa umri wa kati, muda unakimbia. Ukiwa mzee muda unapaa. Unakimbia…

Staili ya zimamoto inaua elimu

Jamii au familia makini ni ile inayoweza kwa akili za kibinadamu kutabiri na kuweka mipango kutokana na kinachotarajiwa. Kwenye ngazi ya familia yapo yanayopaswa kufanywa na wazazi ili kukabiliana na makusudio au mipango yao ya kupanua familia. Vivyo hivyo, serikali…