Latest Posts
Marekani yaishutumu Urusi kwa kufadhili vita Sudan
Marekani imeishutumu Urusi kwa kufadhili pande mbili zinazopigana nchini Sudan, hatua inayoonekana kusisitiza madai ya awali ya Washington kwamba Moscow imekuwa ikichochea kuendelea kwa mgogoro huo. Akizungumza katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa jana Jumatatu, Balozi…
Dk Nchemba afungua mafunzo ya Kamati ya PAC
Na Benny Mwaipaja, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), amefungua mafunzo ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), yanayohusu Usimamizi wa Fedha za Umma, yaliyoandaliwa na Wizara ya Fedha kupitia…
Tanzania kushirikiana na Italia kuendeleza sekta ya madini
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imejipanga kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na Italia katika kuendeleza sekta ya madini, hususan kwa kutumia teknolojia na mitambo rafiki kwa mazingira. Waziri wa Madini, Mh. Anthony Mavunde (Mb), amesema hayo tarehe 06 Januari…
Idadi ya watu waliofariki tetemeko la ardhi Tibet yafikia 95
Takriban watu 95 wamethibitishwa kufariki na wengine 130 kujeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kupiga eneo la milima la Tibet Jumanne asubuhi, vyombo vya habari vya Serikali ya China vinasema. Tetemeko la ardhi lililokumba mji mtakatifu wa Tibet wa…
MSD yapongezwa kwa maboresho ya huduma mkoani Kagera
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Bohari ya Dawa (MSD) imepongezwa kwa kuimarisha mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya mkoani Kagera, ambao umepunguza malalamiko ya upungufu wa bidhaa za afya mkoani humo. Pongezi hizo zimetolewa hapo jana tarehe 6/1/2025 na…