JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mafanikio katika akili yangu (14)

Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: Fatuma muda huo alikuwa yumo njiani na Zawadi dada yake Noel wakitembea kuelekea ofisi za ofisa utamaduni wa mkoa ili kuangalia namna ya kusajili kampuni yao ya mitindo waliyokuwa wanataka kuianzisha. Sasa endelea……

Makoma Troupe ilivyochengua watu ukumbini (1)

Kundi la muziki wa zouk la Makoma lilikuwa na wanamuziki ambao walimudu kweli kuwachengua mashabiki waliokuwa wamefurika ukumbini walipofanya ziara nchini miaka kadhaa iliyopita. Wakati huo wengi wa mashabiki nchini walilikubali kundi hilo mwanzoni wakidhani kuwa ni kundi la muziki…

MO alitikisa kiberiti au alitikiswa?

Maswali yasiyo na majibu! Wakati Simba inalikosa Kombe la Mapinduzi, kukazuka taarifa kwamba Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba, Mohammed Dewji ‘MO’, ameamua kubwaga manyanga. Si kuondoka ndani ya Simba, bali ni kujiondoa katika nafasi ya mwenyekiti na kubaki kama…

Samatta asiandike tu historia

Mpaka utakapokuwa unasoma makala hii kuna uwezekano mkubwa kuwa Mbwana Samatta atakuwa tayari amekwisha kuwa mchezaji rasmi wa Aston Villa inayoshiriki Ligi Kuu nchini Uingereza (EPL). Anakuwa mmoja wa wachezaji ambao wamenufaika na dirisha dogo la usajili katika Bara la…

Diamond ‘amkaanga’ Dk. Kigwangalla

Wakati sakata la Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla la matumizi mabaya ya madaraka likiendelea kushika kasi, msanii Abdul Nassib (Diamond) ‘amemkaanga’ waziri huyo kupitia kwa meneja wake, Hamisi Taletale (Babu Tale). Taletale amezungumza na JAMHURI na kuanika…

Kituko tovuti ya BoT

Mpita Njia (MN) anakumbuka miaka ile ya enzi zao watu waliofanya kazi Benki Kuu ya Tanzania (BoT) walionekana kama vile ni wateule wa Mungu. Walionekana wateule kwa sababu mazingira, aina ya kazi na mishahara yao viliwafanya wengi waamini kuwa hakuna…