JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Lugola amejikaanga mwenyewe, asimlaumu mtu

Aliyekuwa waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola, anaishi kwa wasiwasi. Hana uhakika uchunguzi unaoendeshwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) utaishia wapi. Wiki mbili tu zilizopita Lugola alikuwa miongoni mwa watu wachache nchini ambao angeweza kusema…

Uamuzi wa Busara (10)

Wiki iliyopita katika toleo hili la Uamuzi wa Busara tulisoma jinsi Mwalimu Julius Nyerere anavyowaondoa wasiwasi watu juu ya jina la Muungano, na kwamba vifungu vya Katiba vinaweza kubadilika ikiwa theluthi mbili ya wajumbe wakiamua kufanya hivyo. Endelea… Kutokana na…

Vita Kuu ya Tatu itatokana na ugomvi wa maji

Utafiti uliofanywa na wataalamu kadhaa umebaini hali ya kushangaza katika Bonde la Mto Nile.  Wataalamu hao wanasema ubashiri unaonyesha kuwa kiwango cha mvua katika eneo la bonde hilo kitaongezeka lakini kiasi cha maji yanayotiririka katika mto huo mrefu kuliko yote…

Aishi miaka 111 bila kuugua

Si kila kinacholiwa kina faida mwilini. Kuna vyakula vya kujaza tumbo na vingine vya kujenga mwili. Inaelezwa chakula bora ni kile kinachojenga mwili, ambacho ndani yake kunakuwa na virutubisho vya kutosha. Hili ni jambo ambalo limethibitishwa kupitia maisha ya Rachel…

Akiba ya chakula nchini yaporomoka

Shehena ya nafaka zinazohifadhiwa kwenye maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) imepungua sana miaka ya hivi karibuni na kwa karibu miaka minne mfululizo imekuwa chini ya tani 100,000, JAMHURI limebaini. Takwimu za hivi karibuni za taasisi…

Mikopo mingi yatumika kwa mahitaji binafsi

Fedha nyingi wanazokopa Watanzania kutoka vyanzo mbalimbali hutumika zaidi kukidhi mahitaji yao binafsi kuliko kuwekeza kwenye miradi ya uzalishaji na kununua rasilimali kama nyumba na ardhi, utafiti uliofanywa hivi karibuni na jarida moja la nchini Uingereza umebaini. Kwa mujibu wa…