JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tunapomsifia Samatta, tumzomee Kichuya

Miaka 44 iliyopita Watanzania wengi tukiwa hatujui chochote kuhusu teknolojia wala televisheni, Sunday Manara, anakwenda Uholanzi kucheza soka la kulipwa. Baada ya miaka miwili (1978) maisha ya Uholanzi yanamshinda, anaamua kutimkia Marekani kwenye Klabu ya New York Eagles. Mambo bado…

TBS walikoroga

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wamelikoroga baada ya kutoa matokeo ya uchunguzi yaliyojaa utata kuhusu shehena ya mahindi kutoka nchini Marekani ambayo imekaa bandarini kwa miaka miwili.  Uchunguzi wa Gazeti la JAMHURI umebaini kwamba Oktoba mwaka jana Mamlaka ya Usimamizi…

Arejea masomoni na kukuta ajira yake serikalini imeyeyuka

Aliondoka kwenda masomoni baada ya kupata baraka zote za mwajiri wake. Alikuwa na lengo la kujiongezea elimu, ujuzi na maarifa na kuvitumia kulitumikia taifa lake kupitia taaluma yake ya uuguzi. Lakini alipatwa na mshituka aliporejea kutoka masomoni akiwa amekwisha kuhitimu…

Utendaji wa Puma wamkuna Kalemani

Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amesema serikali inaridhishwa na utendaji wa Kampuni ya kuagiza na kuuza mafuta ya Puma Energy Tanzania Limited na kuitaka kuendelea kuboresha shughuli zake hapa nchini. Dk. Kalemani ameyasema hayo jijini Dar es Salaam mwishoni…

Kilichomponza Makonda

Misimamo mikali ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, kwenye masuala yenye utata mkubwa inatajwa kama sababu kubwa ya Marekani kumwekea vikwazo vya kusafiri kwenda kwenye nchi hiyo kubwa kiuchumi na kijeshi duniani. Wiki iliyopita taarifa iliyotolewa…

Mali zilizoporwa Lupembe zarejeshwa kwa agizo la Bashe

Ziara iliyofanywa na Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, mkoani Njombe hivi karibuni imesaidia kurejeshwa kwa mali za ushirika zilizokuwa zimeporwa na viongozi wasio waaminifu wa ushirika wa eneo la Lupembe, mkoani humo. Kaimu Naibu Mrajisi wa Vyama vya Ushirika…