JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndugu Rais, Daniel arap Moi naye amepita

Ndugu Rais, aliyekuwa Rais wa Kenya kwa takriban miaka 24, Rais Daniel arap Moi, naye sasa amepita! Wakati fulani nikiwa Nairobi nikaambiwa kuwa kufikiria tu kuwa Rais Daniel arap Moi anaweza kuugua au kufa, ulikuwa ni uhaini! Lakini sasa naye…

Buriani Alhaj Simba, ulikuwa tumaini, utabakia mfano

Kifo ni maendeleo kwa maana ya mabadiliko yanayomtoa mwanadamu kutoka katika hali moja hadi nyingine.  Moja ya maana ya kifo ni kutengana kwa roho na mwili baada ya kuunganishwa kwa njia ya kupuliziwa roho katika mwili pale mimba inapofikisha arobaini…

Changamoto za majina maarufu

Kwenye Mkutano wa 18 wa Bunge uliopita, Mchungaji Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini (CHADEMA) aliongea bungeni na kuhoji uamuzi wa Wizara ya Maliasili na Utalii kutumia wasanii Watanzania kutangaza vivutio vya utalii nchini. Mchungaji Msigwa alisema kuwa wasanii hao…

Jifunze kushukuru katika maisha (1)

“Shukrani ni fedha ambayo tunaweza kujitengenezea sisi wenyewe na kuitumia bila kuogopa kufilisika.” – Fred De Witt Van Amburgh Siku moja kipofu alikuwa anasafiri. Akakutana na barabara mbaya sana. Akasimama akawaza sana. Akajiuliza nitawezaje kusafiri katika barabara mbovu kiasi hiki…

Bado Muhandiki ni mhimili wa ushirika

Yamesemwa mengi baada ya mzee Arhard Felician Muhandiki kukatwa mguu kutokana na maradhi yaliyompata.  Kuna baadhi ya watu walifurahia sana tukio hilo wakidhani kuwa hiyo itakuwa nafuu kwao kwa jinsi alivyokuwa amewakalia kooni katika walichokiona kama fursa kwao. Kwa muda…

Sijajua Watanzania tunachotaka

Mwalimu Julius Nyerere aliamini katika dhana ya maendeleo ya watu, na si maendeleo ya vitu. Dhana hii imepewa tafsiri nyingi. Wapo wanaoamini kuwa Mwalimu hakutaka kuona barabara, majengo makubwa makubwa na miradi mingine yenye thamani ya mabilioni ya fedha. Lakini…