Latest Posts
Simbachawene awasulubu NIDA
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, ‘amewatoa jasho’ viongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) katika mkutano uliofanyika jijini Dodoma, Ijumaa iliyopita, JAMHURI limefahamishwa. Waziri Simbachawene ametaka maelezo ya kina kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa NIDA,…
Watumishi Tamisemi wapigwa mafuruku kusafiri
Kilichowakuta watumishi wa umma waliokuwa na mtindo wa kusafiri nje ya nchi mara kwa mara sasa kimewakumba pia watumishi wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – Tamisemi. Ruhusa ya watumishi wa Tamisemi kusafiri kwa ajili…
Mvua zaharibu barabara Ilala, Kinondoni
Mvua zilizonyesha kwa wiki kadhaa zimesababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu ya barabara na madaraja katika Mkoa wa Dar es Salaam hasa katika wilaya za Kinondoni na Ilala. Ziara zilizofanywa na gazeti hili katika maeneo kadhaa katika Mkoa wa Dar es…
Serikali imo gizani katazo la Marekani
Takribani wiki mbili baada ya Marekani kuiingiza Tanzania katika orodha ya nchi ambazo wahamiaji wake hawaruhusiwi kuingia nchini humo, Serikali imesema bado haijapata taarifa rasmi kuhusiana na suala hilo. Aidha, Serikali imesema pia haijapata taarifa zozote kuhusiana na katazo la…
Uzimaji wa simu zisizosajiliwa waendelea
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeendelea kutekeleza ahadi ya kuzima laini zote za simua mbazo hazijasajiliwa kwa kutumia alama za vidole. Kwa mujibu wa Mamlaka hiyo, hadi Februari 12, mwaka huu jumla ya laini za simu 7,316,445 zilikuwa zimezimwa baada…
Utumishi wa umma usigeuzwe adhabu
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma (TAMISEMI), imetangaza kuzuia safari za watumishi wa umma katika ofisi za mikoa, wilaya na mamlaka za Serikali za Mitaa kusafiri nje ya vituo vyao vya kazi. Sababu kuu iliyotolewa na Ofisi ya…