JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ushauri kwanza, uamuzi baadaye

Ushauri na uamuzi ni maneno yanayokwenda sanjari katika matumizi ya mawasiliano na matendo ya mwanadamu. Ushauri unapokuwa mzuri unatengeneza uamuzi mzuri, na unapokuwa mbaya unatengeneza uamuzi mbaya, kwa mtu binafsi au kwa kundi la watu. Kwa vile mwanadamu anaongozwa na…

Yah: Kula kitu roho inapenda

Huu msemo ulianza kama utani kwamba kama una nafasi ya ziada katika kipato, basi unapohitaji kufurahisha moyo wako, kula kitu kizuri ambacho unakipenda na haushurutishwi na mtu na hauna shida ya kukipata. Hii ndiyo maana halisi ya ‘kula kitu roho…

Mafanikio katika akili yangu (19)

Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: Walipokuwa wakiongea Noel akagundua ni Penteratha yule aliyekuwa amekutana naye. “Ina maana Penteratha ni mwandishi maarufu kiasi hiki!’’ alishangaa sana Noel. Sasa endelea … Penteratha akiwa amekaa mezani akijaribu kutengeneza kichwa cha kitabu,…

Banana kama baba yake (2)

Katika kuangalia safari ya kimuziki ya Banana Zorro, wiki iliyopita tuliona jinsi alivyoamua kuachana na bendi ya kwanza na kujiunga na Inafrica Band, na moja kwa moja kujikita katika kufanya kazi kama mwanamuziki anayejitegemea, yaani solo artist. Akiwa mwanamuziki anayejitegemea,…

Soka letu linamhitaji Haji Manara

Huenda Kassim Dewji ni miongoni mwa viongozi wachache wa Simba wakiwa sehemu ya watendaji wa ‘Simba mbili’ zilizofanya maajabu kuliko Simba ya Manara. Jumamosi ya Novemba 26, 1993 wakati Desre Koume na Jean Ball ‘Boli Zozo’ wanainyima Simba ubingwa wa…

Wageni wanakuja, wanaondoka, makocha wa kwetu wapo tu

Achana na majina ya Sven van der Broeck wa Simba na Luc Eymael wa Yanga, tubaki na majina ya makocha wa hapahapa Afrika ili tuzungumze kitu kinachoeleweka. Hawa utawauliza tu nini kifanyike. Maana ukizungumzia kocha kutoka Malawi, Zambia, Kenya, Uganda,…