JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Simba, Yanga zitaibua vipaji?

Aliyemuibua Joseph Yobo hadi akawa mmoja wa wachezaji maarufu nchini Nigeria ni mama mmoja aliyekuwa akishughulika na ukuzaji wa vipaji vya watoto katika Jimbo la River. Alitumia fedha zake mwenyewe kwa miaka mingi, lakini baadaye dunia ikaanza kumfahamu baada ya…

Samatta: Naanza kuwaelewa wenzangu

Mshambuliaji nyota wa Aston Villa, Mbwana Samatta, taratibu ameanza kuuzoea mfumo wa uchezaji wa timu yake mpya. Samatta pia ni nahodha wa Taifa Stars na ni mchezaji wa kwanza Mtanzania kucheza Ligi Kuu ya Uingereza (EPL). Akizungumza hivi karibuni, Samatta…

Uchunguzi mkali NIDA

Tume tatu zimeundwa kuchunguza ubadhirifu, utendaji, utoaji vitambulisho kwa watu wasio raia na mwenendo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), uchunguzi wa JAMHURI umebaini. Katika hali ya kushtua, mfanyakazi wa NIDA (jina linahifadhiwa) ambaye ni mke wa mmoja wa…

Wakopeshaji matapeli ‘wawapiga’ walimu bilioni 1.3/-

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Mara inaendesha uchunguzi dhidi ya mataeli ambao wamewakopesha watumishi wa umma fedha kwa riba kubwa na kuzalisha mafia yanayofikia Sh bilioni 1.3. Mkuu wa Takukuru Mkoani Mara, Alex Kuhanda ameliambia JAMHURI…

Wafanyabiashara Soko la Kariakoo watoa tahadhari

Wafanyabiashara wa masoko ya Mchikichini na Kariakoo wameonya kuwa kuna uwezekano mkubwa wa bidhaa zinazouzwa kwa wingi katika maeneo hayo kupanda bei maradufu kutokana na uhaba wa bidhaa hizo ulioanza kujitokeza. Kwa kiasi kikubwa maeneo hayo ni maarufu kwa biashara…

Tanzania kutoa hati ya madini

Serikali imefanikiwa kutimiza masharti ya itifaki namba tano ya azimio la Dar es Salaam la mwaka 2004 inayoweka utaratibu mzuri wa matumizi ya rasilimali, ikiwemo uchimbaji, uchakataji, usafirishaji na uuzaji wa madini. Kutokana na kutekeleza masharti hayo, Tanzania sasa inaruhusiwa…