JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wataalamu wabaini chanzo cha nzige Afrika Mashariki

Wanaitwa nzige wa jangwani na mtu angeweza kuhisi kuwa wanastawi sana katika maeneo ya jangwani, lakini si hivyo. Nzige hawa ambao hivi sasa wanalitesa eneo la Afrika Mashariki wanastawi sana katika maeneo yenye mvua nyingi. Kwa miezi kadhaa sasa nchi…

Ndugu Rais, tumepakwa majivu usoni moyoni tumebadilika?

Ndugu Rais, Jumatano ya majivu zamani tuliita sikukuu ya majivu. Kumbe ndiyo mwanzo wa mfungo wa Kwaresma. Kabla ya Kristu waliofunga walivaa magunia. Badala ya kujipaka majivu usoni, walijimwagia mwili mzima. Kila walipopita walijulikana kuwa wamefunga. Wote walihesabiwa kuwa ni…

Mola tuepushie maambukizi ya corona

Dunia imeshughulishwa na imeingiwa hofu kubwa juu ya tishio la maambukizi na kusambaa kwa virusi vya ugonjwa wa corona ambao wataalamu wa afya wameupa jina la (Covid-19), ambao umeiathiri sana nchi ya China kwa watu kupoteza maisha na kuwa na…

Ulawiti, ubakaji vyashika kasi Misungwi

Vitendo vya ulawiti kwa watoto wadogo, ubakaji na mimba katika umri mdogo vimeongezeka sana katika Wilaya ya Misungwi, mkoani Mwanza, JAMHURI limethibitishiwa. Takriban matukio 35 ya visa hivyo yameripotiwa kutokea ndani ya siku 60, kuanzia Januari Mosi hadi Februari 25,…

Nyaraka muhimu unapobadili jina katika hati miliki

Nyaraka za uhamisho Nayaraka za uhamisho zinajumuisha fomu namba 29 ijulikanayo kama fomu ya kusudio la uhamisho ambayo hueleza nia na lengo la muuzaji kutaka kubadili jina au kuondoa jina lake katika hati. Hii utaandaa nakala tatu. Pili, ni fomu…

Kama umemsahau Mungu, umejisahau mwenyewe (1)

Nakukumbusha: Kama umemsahau Mungu; basi umejisahau wewe mwenyewe.  Sizijui funguo zote za mafanikio, lakini ninaufahamu ufunguo mmoja wa kushindwa. Ufunguo huo ni: ‘Kuishi bila Mungu’. Kuishi bila Mungu ni kupotea njia. Ni  kupoteza ufunguo wa mafanikio katika maisha. Unapomtafuta Mungu…