JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kilwa hawakujenga mabondeni, wasaidiwe

Zimepita wiki kadhaa sasa tangu ziwepo taarifa za mafuriko makubwa kuvikumba baadhi ya vijiji katika Wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi. Ukiacha watu 14 ambao waliripotiwa kufariki dunia, watu wengine zaidi ya 15,000 waliathiriwa na mafuriko hayo. Mkuu wa Mkoa wa…

Serikali yaanika mikakati ya kukabiliana na corona

Tanzania imeanza kuchukua hatua madhubuti kuweka mikakati itakayoiwezesha kukabiliana na mlipuko wa virusi vya corona iwapo utatokea nchini. Mikakati hiyo imebainishwa wiki iliyopita na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu. Pamoja na kueleza yaliyofanywa…

Tukio hili tunalitafsirije? (1)

Nimeshtuka sana na kuingiwa wasiwasi kusikia eti yupo mbunge amediriki kuandika barua kwenda Benki ya Dunia kutaka zuio la fedha za maendeleo ya elimu hapa nchini. Nasema nimeshtuka kwa vile aliyetenda hivyo ninamfahamu kama ni askari wa Jeshi la Akiba…

Tumsaidie Rais kazi ngumu ya kuliongoza taifa

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliwahi kusema kuwa urais ni kazi ngumu, akaifananisha na mzigo mzito. Nayaamini maneno hayo ya mzee wa Kizanaki. Nimejitoa wazi kutaka kumsaidia rais wetu kupambana na ugumu huu ninaouona. Kwa sababu rais anaongoza…

Dhahabu, almasi nchini zaongezeka thamani

Thamani ya dhahabu na almasi zilizozalishwa nchini mwaka jana na kampuni kubwa zinazochimba madini hayo nchini iliongezeka kwa dola milioni 55.5 za Marekani ukilinganisha na kiasi kilichopatikana mwaka 2018. Kwa mujibu wa takwimu mpya za Benki Kuu ya Tanzania (BoT),…

IMF, AfDB wakosoa sera za uchumi Zimbabwe

Taasisi mbili kubwa za fedha duniani zimepinga sera ambazo Zimbabwe imeamua kuzitumia kufufua uchumi wake. Taasisi hizo, Shirika la Fedha Ulimwenguni (IMF) na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), zimesema Zimbabwe inahitaji kufanya mambo mengine mengi zaidi ya sera hizo iwapo…