JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wananchi ndilo jeshi muhimu mapambano ya corona

Moja ya mijadala iliyotawala kwenye mitandao ya kijamii wiki iliyopita ni hatua ya Rais Dk. John Magufuli kuwaalika Ikulu baadhi ya viongozi wa upinzani na kufanya nao mazungumzo.  Ukiacha mazungumzo hayo, mvuto pia ulikuwa katika picha za video zilizosambazwa na…

Anza wewe kuwa jinsi unavyotaka mtoto wako awe

Hebu leo tubadilishe upepo kidogo kwa kutafuta majibu ya kwa nini watu waovu wanaongezeka licha ya wingi wa makanisa, misikiti hata magareza?  Kwa nini matukio ya uovu wa binadamu yanazidi licha ya juhudi kubwa zifanywazo na ulimwengu kudhibiti matukio hayo?…

Tukio hili tunalitafsirije? (2)

Mifano hai ya waliopata ‘rustication’ ni kama hivi (sitawataja majina humu), mmoja alikuwa ni chifu kutoka Usukumani kule Shinyanga. Chifu huyu alitimuliwa Shinyanga akapelekwa kuishi Tunduru, mahali ambako alikuwa hajawahi kufika wakati ule wa ukoloni. Mwingine alikuwa wakili, Mhindi wa…

Watoa huduma za mawasiliano kushindanishwa

Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) imeamua kutoa changamoto kwa watoa huduma za mawasiliano kwa kuanzisha tuzo ambazo zitaibua watoa huduma bora.  Akizungumza na wahariri wa habari wiki iliyopita, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Mhandisi James Kilaba, amesema tuzo hizo zinatarajiwa kuwa…

Umakini wa JAMHURI unapovuka mipaka ya nchi

Si jambo la kupendeza sana kwa mtu kujisifia au kuonekana unafagilia upande uliopo wewe, lakini pia sidhani kama ni kosa la jinai ukiamua kuonyesha yaliyo mema kwa upande wako.  Ndiyo maana hata mimi ninaamua kuonyesha umakini wa Gazeti la JAMHURI…

Bei mazao ya chakula yapanda

Bei za jumla za mazao mengi ya chakula zilipanda kwa kiasi kikubwa mwezi Januari mwaka huu ikilinganishwa na mwezi uliotangulia kutokana na kuongezeka kwa mahitaji yake kwenye baadhi ya nchi jirani, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema. Kuongezeka kwa bei…