JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Corona inavyowatesa wanamichezo duniani

Dunia inatetemeka! Habari kubwa kwa sasa ni juu ya virusi vya corona ambavyo vimetapakaa karibu ulimwengu wote. Havichagui jina wala umaarufu. Wale watu maarufu zaidi nao kwa sasa wamo katika karantini katika mikakati ya kuzuia kusambaa kwa virusi hivyo. Tuizungumzie…

BRELA yafumuliwa

Menejimenti ya Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imefumuliwa. Katika mpango mahususi unaotajwa kuwa unalenga kupambana na rushwa, vishoka, utendaji wa mazoea, na kuifanya BRELA ishiriki vilivyo kwenye ujenzi wa uchumi wa taifa, vigogo watano tayari wameondolewa kwenye…

Matapeli wadaiwa kuuza nyumba ya urithi Kariakoo

Mgogoro umeibuka kuhusiana na kiwanja kwenye Kitalu Na. 52, Block 27 katika Mtaa wa Somali, Kariakoo, ambako jengo lenye zaidi ya ghorofa 10 linajengwa. Inadaiwa kuwa mmiliki wa sasa anayejenga jengo hilo alinunua nyumba ambayo ilidhulumiwa kutoka kwa ndugu wa…

Mafuta Aprili kuchelewa

Wadau wa mchakato wa kuagiza mafuta wamekubaliana kupunguza kasi ya uingizaji wa mafuta kwa mwezi Aprili kama njia ya kukabiliana na mrundikano wa bidhaa hiyo. Makubaliano hayo yanatokana na ombi la Umoja wa Kampuni za Biashara ya Mafuta (TAOMAC) kutaka…

Madhara ya corona yaanza kuonekana kwa wakulima

DAR ES SALAAM NA AZIZA NANGWA Uuzaji wa mazao ya asili nje ya nchi umepungua kwa kiasi kikubwa katika miezi ya hivi karibuni kutokana na kuibuka kwa maambukizi ya virusi vya corona, Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, amethibitisha. Akizungumza na…

Pwani kutumia ‘drones’ kupulizia mikorosho

Chama cha Ushirika mkoani Pwani kimesema kinatarajia kuboresha ukulima wa zao hilo kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya ndege zisizo na rubani (drones) kupulizia mikorosho yote dawa ya Sulphur ili kuongeza uzalishaji wa zao hilo. Akiongea na JAMHURI, Mwenyekiti wa…