JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tusipende amani kwa kuisahau haki

Daima amani ni tunda la haki. Penye haki amani hutamalaki. Mwenye haki, kwa maana ya kutenda na kutendewa haki, mara zote huwa mpole na mtulivu. Kwa sababu sioni ni kitu gani kitamfanya akose utulivu kama haki yake haijaguswa. Kwa wakati…

Ubabe haujengi, hauna tija (1)

Huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu. Tutapata fursa nyingine ya kuwachagua viongozi wa kuendesha gurudumu letu la maendeleo kwa miaka mitano ijayo.  Hapa nchini tunasema demokrasia ya kupokezana vijiti kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu. Mwaka huu tutachagua tena…

Barabara yawatesa wakazi Kisangara, Shighatini

· TARURA yasema mkandarasi yupo kazini · Mbunge asema bado mkandarasi hajapatikana · Mkandarasi agoma kuzungumza ARUSHA NA ZULFA MFINANGA Ubovu wa barabara inayounganisha Kata ya Shighatini na Ngujini wilayani Mwanga katika Mkoa wa Kilimanjaro umeendelea kuwa kero kwa wakazi wa maeneo hayo,…

Soko la Bidhaa lawanufaisha wakulima

Na Mwandishi Wetu Wakulima nchini wameanza kunufaika na kuwepo kwa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) ambalo lipo mahususi kusaidia masoko ya mazao yanapatikana kwa wakati sahihi na mauzo yanafanyika kwa ushindani stahiki. Na katika kuhakikisha kuwa faida za soko hilo…

Wanawake wajasiriamali wawezeshwa 7bn/-

Na Mwandishi Wetu Wanawake wajasiriamali zaidi ya 28,000 wamewezeshwa na serikali kupata mikopo yenye masharti nafuu kama sehemu ya kupambana na umaskini nchini na kuwashirikisha wananchi kikamilifu katika ujenzi wa taifa. Wizara ya Fedha na Mipango ilisema wiki iliyopita kuwa…

Waganda walizwa mabilioni ya fedha mtandaoni

Hakuna nchi ambayo raia wake wameathirika kwa kutapeliwa fedha zao kupitia teknolojia za kwenye mitandao kama Uganda. Wengi wamekwisha kufikia hatua ya kujiua baada ya kubaini kuwa wametapeliwa mabilioni ya fedha walizowekeza kupitia mitandao ya fedha za kidijiti (cryptocurrency). Mmoja…