Latest Posts
Dk Biteko aridhishwa na ujenzi wa kituo cha Gesi Asilia CNG Ubungo
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Dotto Biteko, amesema ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa kituo kikuu cha kushindilia gesi asilia (CNG) kilichopo Ubungo, Dar es Salaam. Ametangaza kuwa kituo hicho,…
Bajaji, bodaboda marufuku kufika mjini Januari 20-RC Chalamila
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ameagiza kuwa ifikapo Januari 20 bajaji na bodaboda hazitaruhusiwa kufika mjini na maeneo yote ya katikati ya mji. Mkuu wa Mkoa ametoa maagizo yake leo January 9, 2025 jijini Dar es…
RC Chalamila afanya maandalizi ya Mkutano wa wakuu Afrika wa nishati, akagua miradi Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila akagua miradi mbalimbali inayoendelea katika jiji la Dar es Salaam. Chalamila akagua miradi hiyo ikiwa ni moja ya maandalizi ya mkutano mkuu wa wakuu…
Waziri Fedha aitaka TRA kuwa wakali kwa wafanyabiashara sugu wanaokwepa kodi
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha WAZIRI wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ameiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania{TRA}, kuacha kuwahurumia na kuwa wakali kwa wafanyabiashara sugu wanaokwepa kulipa kodi ya serikali kwa makusudi bila kubugudhi biashara zao. Nchemba ameyasema hayo Jijini Arusha wakati…
Dk Biteko aagiza kituo cha huduma kwa wateja TANESCO kusukwa upya
📌Akerwa na kusuasua kwa utendaji wa Kituo hicho 📌Awataka watendaji kuondokana na kufanya kazi kwa mazoea 📌Ahoji sababu za kutelekezwa kwa maelekezo yake ya 2024 Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishti Naibu Waziri Mkuu na Waziri…
Wakazi Same watakiwa kutunza na kulinda miundombinu inayowekezwa na Serikali
Waziri wa Afya Jenista Mhagama amewataka wananchi wa Wilaya ya Same kutambua na kumiliki mafanikio ya Serikali kwa kutunza na kulinda miundimbinu inayowekezwa kwenye maeneo yao. Pia kujenga tabia ya kuenzi mabadiliko makubwa ya miundombinu ya huduma na uchumi ambayo…