JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Corona yayumbisha uchumi wa dunia

Wakati dunia ikihangaika kuokoa maisha ya watu kutokana na maambukizi ya virusi vya corona, kwa upande wa pili uchumi umeendelea kutikiswa na ugonjwa huo. Umoja wa OECD tayari umeshaonya kuwa virusi hivyo vinaleta hatari kubwa katika uchumi wa dunia tangu…

Majanga makubwa yatakavyoyumbisha dunia 2020

Tetemeko kubwa la ardhi lililotokea Januari 2010 na kuusambaratisha mji mkuu wa Haiti, Port-au-Prince, lilikuwa ni tukio lililoleta mabadiliko katika mikakati ya kushughulikia majanga yanayotokea maeneo ya mijini. Mabadiliko hayo yalikuja kwa sababu mikakati ya kukabiliana na majanga maeneo ya…

Miradi kuineemesha Mtwara

Itakuwa si haki kukaa bila kuona na kuthamini mchango wa serikali katika kuleta maendeleo ya nchi. Kwa namna moja ama nyingine, mambo mengi ya kimaendeleo yamekuwa yakifanyika siku hadi siku hapa nchini kwetu, ambayo ukiyatazama yameendelea kutupa sifa sisi kama…

Ndugu Rais magonjwa ni mengi, kwanini tukazanie moja?

Ndugu Rais, Baba Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania, Emmaus Mwamakula, malango yake yabarikiwe. Huyu ni kiongozi mkuu wa dini katika nchi yetu ambaye bila kujali kama atahusishwa na makundi fulani fulani, amesimama hadharani na kuitetea haki….

Kwa nini Waislamu nchini wawe chini ya Bakwata? (3)

Katika sehemu ya pili ya makala hii nilieleza kuwa Bakwata ni chombo cha kudumu kilichoundwa mwaka 1968 kuratibu, kusimamia na kuongoza shughuli zote za Waislamu nchini Tanzania (Tanzania Bara) kwa lengo la kutekeleza wajibu wa Waislamu wa kuendeleza na kuimarisha…

Corona inabisha hodi, yafaa kuamka

Nimesimuliwa jinsi abiria wa ndege aliyekaa pembeni ya Mchina kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza alivyoingiwa hofu ya kuambukizwa homa ya corona – COVID-19 – akaamua kusoma gazeti tangu ndege inapaa hadi inatua Mwanza, akiamini gazeti litamkinga kuambukizwa. Hii simulizi…