Latest Posts
Mzaha katika mambo makubwa
Ujinga ni pepo la mabwege. Ndivyo Mpita Njia (MN) anavyoanza kwa kusema. Anasema hivyo kwa sababu tangu serikali itangaze uwepo wa wagonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya corona, baadhi ya watu wanajitoa akili na kuleta mizaha mbele ya ugonjwa…
Corona yasababisha biashara kudorora
Kutangazwa kuwapo nchini kwa ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya corona kumesababisha kusuasua kwa huduma katika baadhi ya masoko jijini hapa. JAMHURI limetembelea masoko ya Kariakoo, Karume na Kisutu ambayo aghalabu huwa na idadi kubwa ya watu wanaouza na…
Kamati yaibua mengi Lodhia, Tanesco
Wananchi wilayani Mkuranga wameutupia lawama uongozi wa Kiwanda cha Nondo cha Lodhia wakidai kunyanyasa wafanyakazi na kutokuwa na ushirikiano kwa jamii inayokizunguka. Wakizungumza mbele ya Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Subira Mgalu, hivi karibuni, wananchi ambao miongoni mwao ni…
Dar es Salaam ikiweza, Tanzania imeweza
Wiki iliyopita itabaki katika kumbukumbu miongoni mwa Watanzania wengi wa kizazi hiki kutokana na tishio la ugonjwa wa COVID-19 unaotokana na virusi vya corona kusababisha matamko na maelekezo kadhaa kutoka serikalini. Kwa mara ya kwanza katika miaka ya karibuni Tanzania…