JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania yang’ara vita dhidi ya rushwa

Tanzania imetajwa kama nchi ya mfano katika mapambano dhidi ya rushwa katika eneo la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara. Ripoti ya kiwango cha rushwa kwa mwaka 2020 iliyotolewa hivi karibuni na Transparency International imebainisha kuwa katika kipindi cha miaka…

Uamuzi wa Busara (3)

Wiki iliyopita katika kitabu hiki cha ‘Uamuzi wa Busara’, tulisoma kuhusu uamuzi wa TANU kwenda Umoja wa Mataifa (UNO). Wajumbe wa Kamati Kuu ya TANU waliandika ujumbe kwa wajumbe wa Baraza la Umoja wa Mataifa waliotumwa nchini kuja kuchunguza hali…

Utaratibu wa kisheria katika kununua ardhi

Tunazo aina kuu mbili za ardhi. Tunayo ardhi iliyosajiliwa na ardhi ambayo haikusajiliwa. Ardhi ambayo imesajiliwa ni ardhi iliyopimwa au maarufu ardhi yenye hatimiliki, wakati ardhi ambayo haikusajiliwa ni kinyume cha hiyo. Na ardhi tunamaanisha viwanja, nyumba au mashamba. Pamoja…

Tuwalipe Polisi, Magereza nauli zao

Wiki tatu zimepita sasa tangu tuchapishe habari ya askari wastaafu wa Jeshi la Polisi kudai mafao yao na kugomea kambini.  Nimefarijika baada ya habari hii Rais John Magufuli amemwagiza Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, afuatilie mafao ya askari…

DRC kupata huduma za afya Tanzania

Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika imetenga zaidi ya Sh milioni 550 kwa ajili ya ujenzi wa hospitali na kituo cha afya ili kuwasogezea wananchi huduma na kuokoa vifo vya mama na mtoto. Ujenzi huo unahusisha Hospitali ya Ikola iliyopo Karema…

Mwinyi ahimiza amani, umoja

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Mwinyi, amewataka Wazanzibari kuimarisha amani na umoja walionao ili kuleta maendeleo. Akizungumza katika Msikiti wa Ijumaa wa Bweleo, Wilaya ya Magharibi B, Mkoa wa Mjini Magharibi baada ya Sala…