Latest Posts
Simba yazidi kuchanja mbuga
Wekundu wa Msimbazi Simba SC imefanikiwa kutinga hatua ya robo fainali michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kutoa sare ya bao moja kwa moja dhidi ya Fc Bravos do Maquis wakiwa ugenini nchini Angola. Bao la Simba…
Maria Sarungi atekwa Nairobi
Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Amesty International nchini Kenya limeripoti kutekwa kwa Mwanaharakati na Mtetezi wa Haki za Binadamu Mtanzania Maria Sarungi Tshehai leo katika eneo la Kilimani jijini Nairobi Nchini Kenya. Taarifa ya Shirika hilo imesema watekaji…
Kisiwa cha Mayotte kukabiliwa na kimbunga kipya Jumamosi
Kimbunga Chido kilisababisha uharibifu mkubwa, na kuua watu wasiopungua 39 na kujeruhi wengine zaidi ya 5,600 katika kisiwa hicho ambacho kinakaliwa na Ufaransa mashariki mwa Afrika. Wakazi wa kisiwa cha Mayotte wanajiandaa kwa dhoruba ya upepo mkali na mvua kubwa…