Latest Posts
Moto wa nyika Los Angeles ulisababishwa na nini?, watu 137 wakimbia miji yao
Moto wa nyika ambao umekuwa vigumu kudhibitiwa unateketeza sehemu za Los Angeles, na kusababisha vifo vya takriban watu watano, kuharibu mamia ya majumba, na kulazimisha zaidi ya watu 130,000 kukimbia kutoka majumbani mwao katika jiji la pili kwa ukubwa Marekani….
Serikali kuendelea kupokea maoni Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imesema ipo tayari kusikiliza maoni ya kila mmoja ili kuhakikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inakuwa halisi na shirikishi. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na…
Mchakato wa Dira 2050 waanza, AZAKI watoa maoni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mh.Stanslaus Haroon Nyongo (Mb,)ameziomba Asasi za Kiraia (AZAKI) kufanya majadiliano ya pamoja badala ya kujikita kwenye ukosoaji, ili kujenga uelewa wa pamoja utakaofanikisha…
Dk Mpango: Tanzania inathamini ushirikiano wake na Marekani
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania inathamini ushirikiano uliopo na Taifa la Marekani ambao umetoa mchango katika maendeleo ya sekta mbalimbali. Makamu wa Rais amesema hayo wakati akifanya mazungumzo ya kumuaga Balozi…