Latest Posts
Watu 21 wauawa katika shambulizi la genge nchini Nigeria
MSEMAJI wa Polisi ya Nigeria, Abubakar Sadiq Aliyu, amesema msafara wa wanamgambo wa serikali ulishambuliwa kwa bunduki na majambazi huko Baure, kijiji katika wilaya ya Safana. Wanamgambo wapatao 21 wanaoiunga mkono serikali ya Nigeria wameuawa katika shambulizi la kuvizia na…
Ulega atoa miezi mitatu daraja Lukuledi likamilike
WAZIRI wa Ujenzi Abdallah Ulega ametoa miezi mitatu kwa Mkandarasi M/s China Railway 15 Bureau Group Cooperation anayejenga Barabara ya Nachingwea-Ruangwa-Nanganga (KM 106), kukamilisha ujenzi wa daraja la Lukuledi. Agizo hilo amelitoa leo wakati akikagua Barabara na Madaraja katika barabara hiyo…
Serikali kupunguza uhaba wa walimu, kufanya usaili wa kujaza nafasi 14,648
SERIKALI inatarajia kuanza kufanya usaili wa kujaza nafasi 14,648 kwa kada ya walimu kwa shule za msingi na sekondari unaolenga kupunguza uhaba nchini. Aidha, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa vibali vya ajira 155,008 ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Ilani…
Serikali itaendelea kuboresha huduma za uhamiaji – Dk Biteko
📌 Aweka jiwe la msingi jengo la Uhamiaji na Makaazi ya Askari 📌 Dkt. Biteko awapongeza uhamiaji kwa kutoa huduma nzuri Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….
Dk Mwinyi asamehe wafungwa wanafunzi 33
RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ametoa msamaha kwa wanafunzi 33 wanaotumikia adhabu za makosa yoyote katika Chuo cha Mafunzo katika Maadhimisho ya Miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Januari 11, mwaka huu na Msemaji…
Sillo : Wananchi toeni taarifa sahihi kupunguza muda wa uhakiki wa vitambulisho vya NIDA
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam Licha ya jitihada zinazofanywa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA kuhakikisha waliokidhi vigezo wanapata namba za Nida/ au vitambulisho kwa haraka lakini kumekuwa na changamoto ya baadhi ya watu kujisajili zaidi ya…