JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wasira: Viongozi wa dini wametutia nguvu kuendelea na uchaguzi mkuu

Wasira: Viongozi wa dini wametutianguvu kuendelea na uchaguzi mkuu *Asema ushauri wao pamoja na wadau wengine utaendelea kuzingatiwa*Asisitiza kuwa Dk. Samia kwa miaka minne amefanya kazi kubwa*Atoa mwanga jinsi ilani ijayo ya CCM itakavyoleta ahueni kwa wakulima Na Mwandishi Wetu,…

Dk Mpango: Kuna haja ya kuweka utalii wa vyakula katika utambulisho wa utalii Afrika

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema ipo haja ya kuweka utalii wa vyakula katika msingi wa utambulisho wa utalii wa Afrika ikiwemo kuimarisha mvuto wake kimataifa kwa kuweka…

Makalla: Uteuzi wa CCM sio kamari, viongozi acheni ahadi za uteuzi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla, amewaonya baadhi ya viongozi wa chama hicho wanaotoa ahadi za uteuzi kwa watia nia wa…

Bilioni 3 zatumika kukamilisha ujenzi wa hospitali Bagamoyo

Na Lookman Miraji. Mkoa wa pwani licha ya kuwa na maboresho makubwa katika suala zima la miundombinu na huduma nyingine za kijamii, bado mkoa huo unakabiliwa na uhaba wa huduma mbalimbali za kijamii. Kupitia hospitali inayojengwa katika maeneo ya Kiromo…

Sekta ya Madini yachangia asilimia 10.1 Pato la Taifa

Rais Samia apongezwa kwa mageuzi makubwa ya sekta ya madini Wizara yafikia lengo kabla ya mwaka 2025 *Mavunde awashukuru watendaji, watumishi na wadau * NA Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Dodoma Wizara ya Madini imetangaza kuwa Sekta ya Madini hapa nchini imepiga…