JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Naibu Waziri Maryprisca Mahundi amuonya diwani kutopotosha umma

NAIBU Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuonya Diwani Faustin Shibiliti wa Kata Igalula kutopotosha umma juu ya mkataba wa uwekezaji wa mnara katika kata hiyo ambapo ina minara miwili ya Vodacom na Halotel. Mhandisi Maryprisca…

Wawili wauwa katika ugomvi wa kugombea ardhi Mbarali, watatu mbaroni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Mbeya WATU watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya kwa tuhuma za mauaji ya watu wawili wakazi wa Kata ya Igurusi wilayani Mbarali na kujeruhi watu wengine watano wilayani humo kutokana na ugomvi wa kugombea ardhi…

TMA yatoa taarifa ya uwepo wa kimbunga Dikeledi

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga ‘DIKELEDI’ katika Bahari ya Hindi mwambao wa pwani ya Msumbiji. Mifumo ya hali ya hewa inaonesha kuwa kimbunga hicho kwa sasa kipo katika mwambao wa pwani ya…

Arusha mbioni kuwa kitovu cha utalii wa matibabu ukanda wa Afrika Mashariki

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda na Waziri wa Afya nchini Tanzania Jenista Mhagama, wamekubaliana kukutana Dodoma makao makuu ya wizara hiyo, kufanya mazungumzo ya pamoja ya kupanga utekelezaji wa ndoto na maono…

Kesi ya kumuondoa madarakani rais wa Korea Kusini aliyesimamishwa kazi yaanza kusikilizwa

Mahakama ya kikatiba ya Korea Kusini imefanya kikao chake cha kwanza kuamua iwapo Rais aliyesimamishwa kazi Yoon Suk Yeol aondolewe madarakani baada ya jaribio lake la kushtukiza la kutekeleza sheria ya kijeshi mwezi uliopita. Hata hivyo kikao hicho kiliisha ndani…

Wanaume wa Kihindu waliopakwa majivu waongoza ibada ya kuoga India

Wanaume watakatifu wa Kihindu waliopakwa majivu waliingia kwenye mto mtakatifu zaidi wa India wa Ganges alfajiri ya siku ya kwanza ambayo ni muhimu katika ibada ya kuoga ya sikukuu ya Kumbh Mela kwenye Jiji la (askazini la Prayagraj. Waumi hao…