JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

SGR yasafirisha wajumbe 922 kwenda vikao CCM Dodoma

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema wametoa treni maalumu ya kisasa (SGR) kusafirisha takribani watu 922 wanaotarajiwa kushiriki kwenye Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaofanyika kesho na kesho kutwa…

NINIDA yaja na mbinu mpya kuhakikisha vitambulisho vinachukuliwa

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka wale wote ambao hawakujitokeza kuchukua vitambulisho vyao vya Taifa vilivyopelekwa katika ofisi za Kata, Vijiji, Mitaa, Vitongoji na Shehia kufika katika ofisi za NIDA za wilaya walikojisajili kuchukua vitambulisho vyao mara watakapopokea ujumbe…

TRA kushirikiana na viongozi Serikali za Mitaa kuimarisha Ukusanyaji Kodi Kariakoo 

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imetoa elimu  kwa viongozi wa serikali za mitaa Kariakoo, kuhusu sheria mbali mbali za ulipaji kodi ikiwamo kodi ya zuio la pango, namna  mpangaji wa nyumba anavyopaswa kukata…

Akiba Commercial Bank yazawadia washindi wa Kampeni ya Twende Kidijitali tukuvushe Januari

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam Akiba Commercial Bank imewashukuru wateja wake kwa kushiriki katika kampeni “twende kidigital tukuvushe Januari” na imewahimiza kuendelea kutumia huduma zake za kidijitali kama vile ACB Mobile, Internet Banking, ACB VISA Card, na ACB Wakala ili…

Uwezo wa mitambo ya kufua umeme wafikia megawati 3,091.71 – Kapinga

📌 Wateja wapya 109,918 waunganishiwa na huduma ya umeme nchini 📌 Kamati ya Bunge yaipongeza TANESCO kwa kuimarisha Miundombinu ya umeme Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kuwa uwezo wa mitambo ya kufua…

Lwaitama : Tukijichanganya baada ya uchaguzi tutafutwa

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mjumbe wa bodi ya wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mzee Azavel Lwaitama amewataka wanachama cha Chama hicho kuzingatia umoja wao hasa baada ya uchaguzi kumalizika, kwani migogoro ya ndani inaweza…