Latest Posts
Wazazi jamii ya kifugaji wamuomba Waziri kuingilia kati sakata la kuchukuliwa kwa watoto wao kinyemela
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Wazazi wa jamii ya Kimasai wamemuomba Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum , Dorothy Gwajima, kuingilia kati kitendo cha watoto wao kuchukuliwa kinyemela kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita kwa kuahidiwa…
‘Hakuna mashaka kuhusu ukubwa wa wa Chama Cha Mapinduzi’
“Hakuna mashaka kuhusu ukubwa wa Chama cha Mapinduzi, hiki ndicho chama kikubwa kuliko chama kingine hapa nchini, sisi ni chama kikubwa kimuundo, kioganaizesheni, kihistoria na hata kwa idadi ya wanachama” Dkt. Samia Suluhu Hassan
Matukio mbalimbali wakati Mkutano Mkuu wa CCM
Wajumbe wote wa kikao hiki ni 1928, wajumbe waliopata dharura ni 4 pekee, hivyo wajumbe waliodhuria ni 1924 ndani ya ukumbi wa Jakaya Kikwete Conventional Centre. Hatua hii inadhihirisha uimara wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwa na idadi kubwa…
Wasira ndiye Makamu Mwenyekiti CCM
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MKUTANO Mkuu maalum wa chama Cha Mapinduzi (CCM),unaoendelea jijini Dodoma umechagua kwa kishindo Stephen Masato Wasira, kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara. Katika mkutano huo, kura 1921 zilipigwa, ambapo kura halali zilikuwa 1917. Kura…
Lissu ametoa taarifa za uongo, sijatoa rushwa popote – Naftal
Na Isri Mohamed, JamhiriMedia, Dar es Salaam Mratibu wa Kampeni wa Freeman Mbowe, anayegombea nafasi ya uenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Daniel Naftal amesikitishwa na tuhuma zilizotolewa na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu zikimtaja kuwa alikamatwa…