Latest Posts
Viwanda zaidi ya 4000 kushiriki maonyesho ya EXPO 2025
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Tanzania (CTI), kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE), limezundua Maonesho ya Kimataifa ya Wazalishaji yajulikanayo kama TIMEXPO 2025 Maonyesho hayo yatafanyika kuanzia tarehe 19 hadi…
Waziri Mkuu: Serikali kuendeleza mabonde nchini
…………………………. Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo upatikanaji wa maji na nishati ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na mafuriko. Amesema moja ya mkakati uliochukuliwa na Serikali…
Urusi yaishambulia Kyiv kwa kombora na droni – Meya
Takriban watu tisa wameuawa na wengine 60 kujeruhiwa, wakiwemo watoto, katika shambulio la usiku la kombora la Urusi na ndege zisizo na rubani kwenye mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, amesema afisa wa eneo hilo. Meya wa Kyiv, Vitali Klitschko amesema…
Lissu agoma kesi kusikilizwa kwa mtandao, viongozi CHADEMA wakamatwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kesi ya inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amegoma kusikilizwa kwa njia ya mtandao. Ulinzi mkali umeimarishwa katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam, hususani katika eneo la…
Serikaki Kibaha kuunga mkono wawekezaji wa ufugaji nyuki
Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Serikali wilayani Kibaha, mkoani Pwani, imeeleza dhamira yake ya dhati ya kuunga mkono juhudi za wawekezaji katika sekta ya ufugaji nyuki ili kuhakikisha wafugaji wadogo waliopo vijijini wananufaika kiuchumi na kielimu. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu…
Kinachojirudia Somanga ni aibu
Barabara inayounganisha mikoa ya kusini mwa Tanzania; Mtwara, Lindi na mikoa ya Pwani na Dar es Salaam ni miongoni mwa barabara kubwa na muhimu nchini. Ni barabara ambayo ilikuwa imesahaulika kama si kutelekezwa kwa miaka mingi baada ya Uhuru, na…