JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Meru lapitisha bajeti ya mwaka 2025/26

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Baraza la madiwani Halmashauri y Wilaya ya Meru mkoani Arusha limeridhia na kupitisha bajeti ya zaidi ya shs 60 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa mwaka 2025/2026. Akipitisha bajeti hiyo…

Rais Samia ashusha neema umwagiliaji

●NIRC yasaini mikataba ya ununuzi mitambo ya kuchimba vidima virefu nchiniI Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, imesaini mkataba wa ununuzi…

Kituo cha kupoza umeme cha Uhuru wilayani Urambo kimekamilika

📌 Kinalenga kuboresha hali ya upatikanaji umeme Urambo na maeneo mengine Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema ujenzi wa kituo cha kupokea na kupoza umeme cha Uhuru kilichopo Wilaya ya Urambo mkoani Tabora umekamilika. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo…

Tume ya TEHAMA yasisitiza umuhimu wa anuani za makazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma TUME ya TEHAMA, imeelezea kufurahishwa na uamuzi wa Serikali wa kuanzisha Maonesho ya Anuani za Makazi ikisema ni jukwaa muhimu la kufikisha elimu juu ya mchango wa anuani katika uchumi wa kidigitali. Akizungumza wakati wa…

Marburg yatishia baa la njaa Biharamulo

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Biharamulo WAKATI Serikali ikiendelea na uchunguzi wa chanzo cha ugonjwa wa Marburg ulioibuka hivi karibuni wilayani Biharamulo mkoani Kagera na kusababisha vifo, baadhi ya wananchi wa Kata za Ruziba, Nyarubungo, Bisibo na Nyakahura,wamesema wapo hatarini kukumbwa…

TAKUKURU Kinondoni wafanya uchambuzi wa mifumo na kubaini upotevu na ufujaji wa fedha za umma

Na Magrethy Katengu, JamhuriMediaDar es Salaam Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kinondoni imesema katika kipindi cha mwezi Okoba hadi Desemba 2024 wamefanya uchambuzi wa mifumo na wamebaini mianya ya rushwa katika maeneo ya ofisi, taasisi, na idara…