JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais wa kwanza wa Namibia afariki akiwa na umri wa miaka 95

Rais wa kwanza wa Namibia huru, Sam Nujoma, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 95 katika mji mkuu wa Windhoek, kiongozi wa sasa wa nchi hiyo ametangaza. Nujoma aliongoza vita vya muda mrefu vya kudai uhuru kutoka kwa Afrika…

Ni sahihi msimamo wa wabunge kutaka NECM kuwa NEMA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika dunia inayoendelea kwa kasi kwa kila nyanja, kuna kila sababu kwa Tanzania kuwa na chombo madhubuti cha kusimamia mazingira. Ni jambo lisilokuwa na ubishi kuwa kwa hali ya sasa na hata hapo baadae, Baraza…

Watu 30 hawajulikani walipo baada ya maporomoko ya ardhi China

Takribani watu 30 wametangazwa kuwa hawajulikani walipo baada ya maporomoko ya ardhi katika kijiji cha Jinping kilichopo kusini-magharibi mwa China, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali ya China. Maporomoko hayo ya ardhi yalitokea katika kijiji cha Jinping kilichopo…

SADC-EAC yataka M23 na wahusika wengine kuwa sehemu ya mazungumzo

Mkutano wa pamoja wa EAC-SADC kuhusu mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umeitaka M23 na makundi mengine yasiyo ya kiserikali kujumuishwa katika mazungumzo na majadiliano yanayoendelea kwa lengo la kutatua mgogoro wa mashariki mwa Congo. Mkutano huo pia umesisitiza…