Latest Posts
Aliyedai kupewa kazi ya kumuua Mpina kortini
Na Mwandishi Wetu, Simiyu Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani binti aliyejitambulisha kwa jina la Pendo Paul Elikana (19) akidaiwa kutoa taarifa za uongo na kuzisambaza katika mitandao ya kijamii. Taarifa iliyotolewa kwa waandishi wa habari na Kamanda…
Vipaumbele vitano Ofisi ya Msajili wa Hazina 2025/26
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewasilisha mbele ya Bunge vipaumbele vitano vya Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) kwa mwaka wa fedha 2025/26 vinavyolenga kuongeza ufanisi wa taasisi za umma, usimamizi wa rasilimali za umma na kukuza mapato yasiyo…
China yarejesha ndege za Boeing ilizoagiza Marekani kwa ushuru
China imerudisha ndege ilizoagiza kutoka Marekani ikiwa ni tukio la hivi karibuni la kulipiza kisasi ushuru wa Trump, mkuu wa kampuni ya kutengeneza ndege ya Boeing amesema. Kelly Ortberg alisema ndege mbili tayari zimerudishwa na nyingine itafuata baada ya mvutano…
Viwanda zaidi ya 4000 kushiriki maonyesho ya EXPO 2025
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Tanzania (CTI), kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE), limezundua Maonesho ya Kimataifa ya Wazalishaji yajulikanayo kama TIMEXPO 2025 Maonyesho hayo yatafanyika kuanzia tarehe 19 hadi…
Waziri Mkuu: Serikali kuendeleza mabonde nchini
…………………………. Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo upatikanaji wa maji na nishati ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na mafuriko. Amesema moja ya mkakati uliochukuliwa na Serikali…
Urusi yaishambulia Kyiv kwa kombora na droni – Meya
Takriban watu tisa wameuawa na wengine 60 kujeruhiwa, wakiwemo watoto, katika shambulio la usiku la kombora la Urusi na ndege zisizo na rubani kwenye mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, amesema afisa wa eneo hilo. Meya wa Kyiv, Vitali Klitschko amesema…