Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
March 20, 2023
Habari Mpya
NMB yaingia mkataba wa kuwakopesha vijana mikopo ya kilimo
Jamhuri
Comments Off
on NMB yaingia mkataba wa kuwakopesha vijana mikopo ya kilimo
Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kati ,Nsolo Mlozi (katikati) akimkabidhi tisheti Waziri wa Kilimo,Husein Bashe (kushoto) kwa ajili ya kundi la vijana 800 kutoka Mikoa yote Nchini. NMB imeingia mkataba wa kuwakopesha kundi hilo kwa kuwapa mikopo ya kilimo na vijana hao watawezeshwa kwa mafunzo ya miezi minne na kukabidhiwa mashamba na serikali bure.Kulia Kabis ni Katibu Mkuu Wizara ya kilimo ,Gerald Mweli.Mpigapicha Wetu
Kaimu Mkuu wa Idara ya Kilimo Biashara Wogofya Mfalamagoha. (Kulia) akipeana mkono na Waziri wa Kilimo,Husein Bashe (kushoto) baada ya kukabidhi tisheti kwa kundi la vijana 800 kutoka Mikoa yote Nchini. Benki ya NMB imeingia mkataba wakukopesha kundi Hilo mikopo ya Kilimo. Vijana hao watawezeshwa na mafunzo ya miezi minne na kukabidhawa mashamba na Serikali bure.Wapili kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya kilimo ,Gerald Mweli na Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kati ,Nsolo Mlozi ( wapili kushoto).
Post Views:
243
Previous Post
Waziri Mkuu afunga kongamano la idhaa za kiswahili Duniani
Next Post
Mabucha ya nyama yabainika kufanya udanganyifu kwenye mizani Dar
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
Habari mpya
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara
Trump apendekeza Marekani ichukue udhibiti wa Ukanda wa Gaza
Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia
Waziri Silaa aiagiza bodi UCSAF kusimamia ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa – Jaji Mugeta
Rais Samia : Dunia imetambua jitihada za Tanzania katika sekta ya afya
Utendaji kazi kituo cha huduma kwa wateja TANESCO wamkwaza – Dk Biteko
Rais Dk Samia apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya Global Goalkeeper Award
Rais Dkt. Samia l apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global Goalkeeper Award