Mwenyekiti CCM, Rais Samia aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Dodoma
JamhuriComments Off on Mwenyekiti CCM, Rais Samia aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Dodoma
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Mkoani Dodoma.