Makamu wa Rais akiwasili Loliondo wilayani Ngorongoro
JamhuriComments Off on Makamu wa Rais akiwasili Loliondo wilayani Ngorongoro
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akiwasili katika eneo la Wasso – Loliondo Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha kwaajili ya ziara ya kikazi katika Wilaya ya Ngorongoro leo tarehe 17 Mei 2023.