Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
August 18, 2023
Habari Mpya
Makamu wa Rais akishiriki mkutano wa SADC Angola
Jamhuri
Comments Off
on Makamu wa Rais akishiriki mkutano wa SADC Angola
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Intercontinental Jijini Luanda nchini Angola kushiriki Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) leo tarehe 17 Agosti 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) kabla ya kuanza kwa Mkutano wa 43 wa Jumuiya hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Intercontinental Jijini Luanda nchini Angola leo tarehe 17 Agosti 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akishiriki Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Intercontinental Jijini Luanda nchini Angola leo tarehe 17 Agosti 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) kabla ya kuanza kwa Mkutano wa 43 wa Jumuiya hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Intercontinental Jijini Luanda nchini Angola leo tarehe 17 Agosti 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na viongozi mbalimbali wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) kabla ya kuanza kwa Mkutano wa 43 wa Jumuiya hiyo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Intercontinental Jijini Luanda nchini Angola leo tarehe 17 Agosti 2023.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akijadiliana jambo na baadhi ya viongozi wa ujumbe wa Tanzania wakati wa Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Intercontinental Jijini Luanda nchini Angola leo tarehe 17 Agosti 2023. (Kutoka kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Mbarouk, Kaimu Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kikanda Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Balozi Kennedy Gaston pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar Jamal Kassim Ali)
Post Views:
184
Previous Post
Sendeka awaonya vijana kutojiingiza kwenye uhaini
Next Post
Wadau wa habari waomba uundwaji wa kanuni za habari usipite mwezi Oktoba
Rais Samia akishiriki Mkutano wa Dharura wa SADC Zimbabwe
Mahakama Kisutu yafungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza uongo inayomkabili Dk Slaa
Watanzania kunufaika na soko la ajira Qatar
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Rais Dkt. Samia awasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC
Habari mpya
Rais Samia akishiriki Mkutano wa Dharura wa SADC Zimbabwe
Mahakama Kisutu yafungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza uongo inayomkabili Dk Slaa
Watanzania kunufaika na soko la ajira Qatar
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Rais Dkt. Samia awasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC
NMB yavunja rekodi ya ufanisi kwa matokeo ya kihistoria mwaka 2024
Serikali yachukua hatua kulinda mazingira ya bahari
Shambulio la droni la Urusi laua tisa mashariki mwa Ukraine
Ebola yathibitishwa Uganda, muuguzi afariki Kampala
Kiongozi wa M23 : Hatuondoki Goma, tunaitaka Kinshasa
Kisanduku cheusi cha ndege iliyoanguka Washington DC chapatikana
Rais Samia kuanza ziara ya kikazi Zimbambwe
Biashara saa 24 kuanza Februari 22
Wawili wafariki kwa mvua Moro
Milioni 466 kutolewa kwa vikundi Mafia