Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
December 8, 2022
Siasa
Makamu mwenyekiti CCM Z’Bar audhuria mkutano wa 10 Dodoma
Jamhuri
Comments Off
on Makamu mwenyekiti CCM Z’Bar audhuria mkutano wa 10 Dodoma
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Isdor Mpango, wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma, wakati wa Mkutano Mkuu wa 10 wa CCM uliofanyika leo 8-12-2022. (Picha na Ikulu)
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mstaafu Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, alipowasili katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma,wakati wa Mkutano Mkuu wa 10 wa Chama cha Mapinduzi, uliofanyika leo 8-12-2022.(Picha na Ikulu)
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Rais Mstaafu wa Tanzania Mhe.Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma, kabla ya kuaza kwa Mkutano Mkuu wa 10 wa CCM uliofanyika leo 8-12-2022 katika ukumbi huo na (kulia kwa Rais) Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe.Philip Isdor Mpango.(Picha na Ikulu)
Makamu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, alipowasili katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma, kuongoza Mkutano Mkuu wa 10 wa Chama Cha Mapinduzi uliofanyika katika ukumbi huo leo 8-12-2022.(Picha na Ikulu)
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 10 wa Chama Cha Mapinduzi wakiwa katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Mrisho Kikwete, wakati Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wajumbe wa Mkutano huo uliyofanyika leo 8-12-2022.(Picha na Ikulu)
Post Views:
378
Previous Post
Mradi wa shule bora kuleta matokeo chanya katika sekta ya elimu nchini
Next Post
Naibu Waziri asema DM ni muhimu kwa uchumi wa buluu
Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini
Watatu wafariki baada ya gari walilopanda kugongana na basi la Ester
Uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura Pwani, Tanga kufanyika Februari 13-19
Baraza la Madiwani Same laidhinisha bajeti ya bilioni 63.42 kwa mwaka 2025/26
SADC watangaza mshikamano na DRC
Habari mpya
Serikali kupitia upya maslahi ya kada ya ualimu nchini
Watatu wafariki baada ya gari walilopanda kugongana na basi la Ester
Uandikishaji daftari la kudumu la wapiga kura Pwani, Tanga kufanyika Februari 13-19
Baraza la Madiwani Same laidhinisha bajeti ya bilioni 63.42 kwa mwaka 2025/26
SADC watangaza mshikamano na DRC
Chato wamchangia Samia mil 1.4/- fomu ya urais
Tanzania inatarajiwa mwenyeji Mkutano wa 19 wa Jukwaa la Korosho Afrika 2025
Rais Samia akishiriki Mkutano wa Dharura wa SADC Zimbabwe
Mahakama Kisutu yafungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza uongo inayomkabili Dk Slaa
Watanzania kunufaika na soko la ajira Qatar
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Rais Dkt. Samia awasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC
NMB yavunja rekodi ya ufanisi kwa matokeo ya kihistoria mwaka 2024
Serikali yachukua hatua kulinda mazingira ya bahari
Shambulio la droni la Urusi laua tisa mashariki mwa Ukraine