Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
May 14, 2023
Siasa
Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar atembelea mali za chama
Jamhuri
Comments Off
on Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar atembelea mali za chama
Makamo Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Viongozi wa CCM mbalimbali wakati alipowasili katika jengo la CCM Amani Mkoa akiwa katika ziara yake ya kutembelea Mali za Chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Mjini Kichama leo (katikati) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe.Dkt Mohamed Said Mohamed (Dimwa).[Picha na Ikulu] 14/05/2023.
Makamo Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kulia) pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe.Dkt Mohamed Said Mohamed (Dimwa), (wa pili kushoto)alipokuwa akionesha kitu wakati alipotembelea mali za Chama cha Mapinduzi CCM katika eneo la Afisi ya CCM Amani Mkoa katika Wilaya ya Mjini Kichama leo (kushoto) Mwenytekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Ndg,Talib Ali Talib na (kulia) Mkuu wa Mkoa wa Mjini magharibi Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa.[Picha na Ikulu] 14/05/2023
Makamo Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzipbar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa,alipotembelea Sheli ya Mafuta Amani akiwa katika ziara yake ya kutembelea Mali za Chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Mjini Kichama leo (kushoto) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe.Dkt Mohamed Said Mohamed (Dimwa).[Picha na Ikulu] 14/05/2023.
Makamo Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kushoto) akiangalia maduka yanayouza bidhaa mbali mbali pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe.Dkt Mohamed Said Mohamed (Dimwa), (kushoto) wakati alipotembelea Mali za Chama cha Mapinduzi CCM katika eneo la Afisi ya CCM Amani Mkoa katika Wilaya ya Mjini Kichama leo.[Picha na Ikulu] 14/05/2023
Post Views:
865
Previous Post
Rais Samia aongoza waombolezaji kuaga mwili wa marehemu Bernard Membe Karimjee jijini Dar es Salaam
Next Post
Serikali yafanya mapinduzi makubwa sekta ya afya
Wataalam 2980 wajengewa uwezo kutoa huduma za afya ya akili
Azma ya Serikali ni kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika wakati wote – Kapinga
Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini Dodoma
INEC yatoa vibali 157 elimu ya mpiga kura
Shabiki wa soka achomwa kisu hadi kufa wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Ghana
Habari mpya
Wataalam 2980 wajengewa uwezo kutoa huduma za afya ya akili
Azma ya Serikali ni kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika wakati wote – Kapinga
Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini Dodoma
INEC yatoa vibali 157 elimu ya mpiga kura
Shabiki wa soka achomwa kisu hadi kufa wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Ghana
Kutoka bungeni Dodoma
Changamoto ya wafanyabiashara wageni kufanyakazi za Watanzania kutatuliwa
TMA yatoa utabiri wa mvua kubwa baadhi ya mikoa
Rais Samia ameing’arisha Chamwino kimaendeleo – Dk Biteko
Dk Masika aridhishwa utekelezaji mradi wa Membe
TPA yapeleka wafanyakazi 23 kuongeza ujuzi nchini Misri
Watendaji daftari la wapiga kura watakiwa kufanyakazi kwa weledi
Mkuu wa shule ajiua kwa kunywa sumu
Watu 54 wauwawa baada ya RSF kushambulia soko Sudan
Mwanafunzi aliyejinyonga kwa mtandio azikwa