![](https://www.jamhurimedia.co.tz/wp-content/uploads/2018/10/majliwa2.png)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Biharamulo kwenye ukumbi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) , Oktoba 8, 2018. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti.
![](https://www.jamhurimedia.co.tz/wp-content/uploads/2018/10/majliwa-1.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Biharamulo kwenye ukumbi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) , Oktoba 8, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://www.jamhurimedia.co.tz/wp-content/uploads/2018/10/majaliwa2.png)
Watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Biharamulo wakimsikiliza Waziri Mkuu , Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Oktoba 8, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)