Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 16, 2022
Uchumi
Kimilembe afungua mafunzo kwa mafundi viyoyozi,majokofu
Jamhuri
Comments Off
on Kimilembe afungua mafunzo kwa mafundi viyoyozi,majokofu
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bi.Kemilembe Mutasa amefungua mafunzo kwa mafundi mchundo wa viyoyozi na majokofu wa Mkoa wa Arusha kuhusu njia bora za kuhudumia (service) vifaa hivyo kwa kutumia gesi pasipo kuharibu tabaka la ozoni jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni yanayofanyika leo Septemba 16, 2022.
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Kemilembe Mutasa (mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maofisa kutoka wizarani mara baada ya kufungua mafunzo kwa mafundi mchundo wa viyoyozi na majokofu wa Mkoa wa Arusha kuhusu njia bora za kuhudumia (service) vifaa hivyo kwa kutumia gesi pasipo kuharibu tabaka la ozoni jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni yanayofanyika leo Septemba 16, 2022.
Baadhi ya mafundi wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bi.Kemilembe Mutasa katika mafunzo kwa mafundi mchundo wa viyoyozi na majokofu wa Mkoa wa Arusha ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni yanayofanyika leo Septemba 16, 2022.
Post Views:
305
Previous Post
Halmashauri zatakiwa kuainisha maeneo ujenzi wa vituo vya afya
Next Post
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
Habari mpya
Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV
DRC: Tangazo la M23 la usitishaji vita sio la kuaminika
Shirika la Posta la Marekani lasimamisha usafirishaji mizigo ya China
Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga
Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia, urithi wake utadumu milele
CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara
Trump apendekeza Marekani ichukue udhibiti wa Ukanda wa Gaza
Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia
Waziri Silaa aiagiza bodi UCSAF kusimamia ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Taasisi za haki jinai na madai zinahitaji mabadiliko na mageuzi makubwa – Jaji Mugeta
Rais Samia : Dunia imetambua jitihada za Tanzania katika sekta ya afya
Utendaji kazi kituo cha huduma kwa wateja TANESCO wamkwaza – Dk Biteko
Rais Dk Samia apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya Global Goalkeeper Award
Rais Dkt. Samia l apokea Tuzo Maalum ya Kimataifa ya The Global Goalkeeper Award