Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 26, 2024
MCHANGANYIKO
DUWASA yajenga tenki la maji la lita 200,000 Nala Dodoma
Jamhuri
Comments Off
on DUWASA yajenga tenki la maji la lita 200,000 Nala Dodoma
Fundi wa Kampuni ya Ujenzi ya Bahaji, Wilson Meso akipiga plasta wakati wa ujenzi wa tenki lita 200000 la kukusanyia maji katika eneo la Nala jijini Dodoma leo Septemba 26, 2024. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) unatekeleza Mradi wa uboreshaji wa upatikanaji wa maji katika eneo la Nala ambao utagharimu Tsh bilioni 1.3 umeanza Julai 1, 2024 na utakamilika ndani ya miezi sita na utahusisha ujenzi wa tenki, ulazaji wa mabomba kwa kilomita 7.8 na kusimika pampu mbili na uwekwaji wa mfumo wa kutibu maji. Mradi utanufaisha wakazi zaidi ya 14,731 wa eneo hilo. (Picha na Mpigapicha Wetu)
MAFUNDI wa Kampuni ya Ujenzi ya Bahaj wakiendelea na zoezi la umwagaji zege wakati wa ujenzi wa tenki lita 200000 la kukusanyia maji katika eneo la Nala jijini Dodoma leo Septemba 26, 2024. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) unatekeleza mradi wa uboreshaji wa upatikanaji wa maji katika eneo la Nala ambao utagharimu Tsh bilioni 1.3 umeanza Julai 1, 2024 na utakamilika ndani ya miezi sita na utahusisha ujenzi wa tenki, ulazaji wa mabomba kwa kilomita 7.8 na kusimika pampu mbili na uwekwaji wa mfumo wa kutibu maji. Mradi utanufaisha wakazi zaidi ya 14,731 wa eneo hilo. (Picha na Mpigapicha Wetu)
Post Views:
233
Previous Post
Rais Samia aipongeza AfDB, utekelezaji miundombinu ya barabara nchini
Next Post
Hakimu, wakili wa Serikali wakerwa wakili Chuwa kuchelesha kesi
Rais Samia akishiriki Mkutano wa Dharura wa SADC Zimbabwe
Mahakama Kisutu yafungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza uongo inayomkabili Dk Slaa
Watanzania kunufaika na soko la ajira Qatar
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Rais Dkt. Samia awasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC
Habari mpya
Rais Samia akishiriki Mkutano wa Dharura wa SADC Zimbabwe
Mahakama Kisutu yafungwa mikono kusikiliza kesi ya kusambaza uongo inayomkabili Dk Slaa
Watanzania kunufaika na soko la ajira Qatar
Gavana Tutuba: Rejesheni mikopo kwa wakati, wengine wanufaike
Rais Dkt. Samia awasili Zimbabwe kuhudhuria Mkutano wa SADC
NMB yavunja rekodi ya ufanisi kwa matokeo ya kihistoria mwaka 2024
Serikali yachukua hatua kulinda mazingira ya bahari
Shambulio la droni la Urusi laua tisa mashariki mwa Ukraine
Ebola yathibitishwa Uganda, muuguzi afariki Kampala
Kiongozi wa M23 : Hatuondoki Goma, tunaitaka Kinshasa
Kisanduku cheusi cha ndege iliyoanguka Washington DC chapatikana
Rais Samia kuanza ziara ya kikazi Zimbambwe
Biashara saa 24 kuanza Februari 22
Wawili wafariki kwa mvua Moro
Milioni 466 kutolewa kwa vikundi Mafia