Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 26, 2024
MCHANGANYIKO
DUWASA yajenga tenki la maji la lita 200,000 Nala Dodoma
Jamhuri
Comments Off
on DUWASA yajenga tenki la maji la lita 200,000 Nala Dodoma
Fundi wa Kampuni ya Ujenzi ya Bahaji, Wilson Meso akipiga plasta wakati wa ujenzi wa tenki lita 200000 la kukusanyia maji katika eneo la Nala jijini Dodoma leo Septemba 26, 2024. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) unatekeleza Mradi wa uboreshaji wa upatikanaji wa maji katika eneo la Nala ambao utagharimu Tsh bilioni 1.3 umeanza Julai 1, 2024 na utakamilika ndani ya miezi sita na utahusisha ujenzi wa tenki, ulazaji wa mabomba kwa kilomita 7.8 na kusimika pampu mbili na uwekwaji wa mfumo wa kutibu maji. Mradi utanufaisha wakazi zaidi ya 14,731 wa eneo hilo. (Picha na Mpigapicha Wetu)
MAFUNDI wa Kampuni ya Ujenzi ya Bahaj wakiendelea na zoezi la umwagaji zege wakati wa ujenzi wa tenki lita 200000 la kukusanyia maji katika eneo la Nala jijini Dodoma leo Septemba 26, 2024. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) unatekeleza mradi wa uboreshaji wa upatikanaji wa maji katika eneo la Nala ambao utagharimu Tsh bilioni 1.3 umeanza Julai 1, 2024 na utakamilika ndani ya miezi sita na utahusisha ujenzi wa tenki, ulazaji wa mabomba kwa kilomita 7.8 na kusimika pampu mbili na uwekwaji wa mfumo wa kutibu maji. Mradi utanufaisha wakazi zaidi ya 14,731 wa eneo hilo. (Picha na Mpigapicha Wetu)
Please follow and like us:
Post Views:
84
Previous Post
Rais Samia aipongeza AfDB, utekelezaji miundombinu ya barabara nchini
Next Post
Hakimu, wakili wa Serikali wakerwa wakili Chuwa kuchelesha kesi
Mfumo wa kidigitali wa Airpay na ZEEA kuwarahisishia wajasirimali kupata mikopo kwa urahisi
Watumiaji wa mtandao wa Airtel kunufaika na huduma mpya
Mikoa, Halmashauri zaagizwa kushiriki maonesho ya viwanda
Rais Dkt. Samia azungumza na wananchi wa Mchomoro, Namtumbo mkoani Ruvuma
Wenye sifa na miaka 21 wajitokeze uchaguzi Serikali za Mitaa – Dk Shemwelekwa
Habari mpya
Mfumo wa kidigitali wa Airpay na ZEEA kuwarahisishia wajasirimali kupata mikopo kwa urahisi
Watumiaji wa mtandao wa Airtel kunufaika na huduma mpya
Mikoa, Halmashauri zaagizwa kushiriki maonesho ya viwanda
Rais Dkt. Samia azungumza na wananchi wa Mchomoro, Namtumbo mkoani Ruvuma
Wenye sifa na miaka 21 wajitokeze uchaguzi Serikali za Mitaa – Dk Shemwelekwa
Hakimu, wakili wa Serikali wakerwa wakili Chuwa kuchelesha kesi
DUWASA yajenga tenki la maji la lita 200,000 Nala Dodoma
Rais Samia aipongeza AfDB, utekelezaji miundombinu ya barabara nchini
Rais Samia awahimiza wananchi Namtumbo kuchagua viongozi Serikali ya Mtaa wenye sifa
Mramba azikaribisha Kampuni za Uingereza kuwekeza kwenye nishati jadidifu
Kikwete apokea msaada wa vifaa tiba na madawati NMB
Rais Samia ateua wenyeviti wa bodi mbalimbali
Serikali Zanzibar kujenga uwanja mkubwa michezo utakaokubalika na FIFA, CAF
Rais Samia ahutubia wakazi wa Nyasa mkoani Ruvuma
Rais Samia afungua Barabara mpya ya kiwango cha lami ya Mbinga – Mbamba Bay Ruvuma