Category: Makala
Uamuzi wa Busara (9)
Wiki iliyopita katika toleo hili la Uamuzi wa Busara tulisoma jinsi Rais wa Tanganyika alivyokuwa ameunda tume ya kuunda Katiba ya Chama cha TANU, lakini tume hiyo ilikuja pia na mapendekezo ya kuundwa Katiba ya muda ya Jamhuri ya Muungano….
Ni kweli hawayaoni au hawataki tu kuyaona? (2)
DAR ES SALAAM Katika makala iliyopita tuliona baadhi ya maeneo ambayo nchi imepiga hatua kwa maendeleo lakini baadhi ya watu, hasa wanasiasa, wanadai kuwa hakijafanyika chochote nchini tangu Uhuru. Lakini Waingereza wana msemo kuwa: “Seeing is believing”; yaani unaamini zaidi…
Kitunda wazindua Parokia
Jumapili Januari 26, 2020 waamini wa Kanisa Katoliki Tanzania, Kata ya Kitunda, Dar es Salaam wametabaruku Kanisa na Altare. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, ndiye aliyelitabaruku Kanisa hili lenye historia iliyotukuka. Mwandishi…
Bandari ya Kyela yabadili maisha
Kwa miaka mingi mikoa ya Kusini ilikuwa imesahaulika. Katika makala hii tutawaelezea nafasi ya Bandari ya Kyela katika kuleta maendeleo ya kiuchumi kwa Nyanda za Juu Kusini na nchi jirani za Malawi na Msumbiji. Bandari ya Kyela ambayo ipo katika…
Ndugu Rais na wapinzani karibuni kwangu chini ya mwembe
Ndugu Rais na wanao wapinzani karibuni mezani kwangu huku Mbagala kijijini. Chini ya mwembe huu panakumbusha mahali alipozaliwa Yesu Kristu, kwa imani ya Wakristu, mkombozi wa dunia. Alizaliwa ndani ya zizi la ng’ombe. Mwenyezi Mungu ayabariki malango yake yule mwanamwema…
Uislamu uanze na familia yako
Familia ni miongoni mwa maneno ambayo hakuna muafaka wa fasili yake. Kiujumla, familia ni kundi la watu wanaokaa pamoja kama baba, mama na watoto. Kikundi hiki mara nyingi ni sehemu ya kundi kubwa zaidi la ukoo unaounganisha watu wenye asili…