JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Bado Muhandiki ni mhimili wa ushirika

Yamesemwa mengi baada ya mzee Arhard Felician Muhandiki kukatwa mguu kutokana na maradhi yaliyompata.  Kuna baadhi ya watu walifurahia sana tukio hilo wakidhani kuwa hiyo itakuwa nafuu kwao kwa jinsi alivyokuwa amewakalia kooni katika walichokiona kama fursa kwao. Kwa muda…

Sijajua Watanzania tunachotaka

Mwalimu Julius Nyerere aliamini katika dhana ya maendeleo ya watu, na si maendeleo ya vitu. Dhana hii imepewa tafsiri nyingi. Wapo wanaoamini kuwa Mwalimu hakutaka kuona barabara, majengo makubwa makubwa na miradi mingine yenye thamani ya mabilioni ya fedha. Lakini…

Vijana ni wajenzi, wachafuzi wa nchi

Vijana ni nguvu kazi na viongozi wa taifa lolote duniani. Ni walinzi na wana utamaduni wa nchi yoyote duniani. Sifa ambazo wanazo tangu zama hadi sasa. Lakini kihistoria na kisiasa inaeleweka wajenzi wakubwa wa dunia ni vijana na wachafuzi wakubwa…

Yah: Polisi msipokwenda na wakati kazi itakuwa ngumu sana

Kwanza nianze kwa kuwashukuru kwa kusoma waraka wangu na niwatakie siku njema ya leo na ikawe na baraka kwenu nyote. Mimi si mtu wa kusali sana, lakini ninajua kuwa Mungu yupo na anatulinda sana. Kwa sisi wachache ambao tumefanikiwa kuishi…

Mafanikio katika akili yangu (18)

Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: Meninda akiwa chumbani kwake alikuwa amesikia kengele iliyokuwa ikiita, akatoka hadi sebuleni. “Huyu atakuwa ni Mariana, si mwingine,’’ alisema Meninda huku akienda kufungua mlango wa kutoka nje ili kwenda kumfungulia geti. “Dada Meninda…

HakiElimu yabainisha kinachosababisha baadhi ya shule kufaulu

Utafiti uliofanywa na HakiElimu nchini umeonyesha kuwa ushiriki hafifu wa wazazi au walezi kuhamasisha watoto kufanya vizuri shuleni na uhusiano mbaya na walimu kuwa ni moja ya vyanzo vikubwa vya watoto wengi kufanya vibaya katika matokeo ya mitihani ya kitaifa….