Category: Makala
Nyaraka muhimu unapobadili jina katika hati miliki
Nyaraka za uhamisho Nayaraka za uhamisho zinajumuisha fomu namba 29 ijulikanayo kama fomu ya kusudio la uhamisho ambayo hueleza nia na lengo la muuzaji kutaka kubadili jina au kuondoa jina lake katika hati. Hii utaandaa nakala tatu. Pili, ni fomu…
Kama umemsahau Mungu, umejisahau mwenyewe (1)
Nakukumbusha: Kama umemsahau Mungu; basi umejisahau wewe mwenyewe. Sizijui funguo zote za mafanikio, lakini ninaufahamu ufunguo mmoja wa kushindwa. Ufunguo huo ni: ‘Kuishi bila Mungu’. Kuishi bila Mungu ni kupotea njia. Ni kupoteza ufunguo wa mafanikio katika maisha. Unapomtafuta Mungu…
Arobaini ni mwarubaini (1)
Wakatoliki pote duniani wameanza kipindi cha kufunga siku arobaini. Kipindi hiki kinaitwa Kwaresima na kinafunguliwa rasmi kwa kupakwa majivu kwenye paji la uso. Ni kipindi cha kufanya toba, kufunga, kusali na kutenda matendo ya huruma. Siku arobaini zinaunganishwa na siku…
Waziri Mkuu ruhusuni biashara ya vipepeo Muheza
Miaka mitatu iliyopita katika safu hii niliandika jambo linaloweza kuonekana dogo lakini lenye athari kubwa kwa mazingira na wanadamu. Linahusu wananchi katika Hifadhi ya Asili ya Amani kuzuiwa kusafirisha vipepeo nje ya nchi. Hii si haki. Safu hii ya Mashariki…
Nyumbani kuna kasoro gani?
“Kauli yako utoayo mitaani, inanifikia nduguyo Ingawa unafikiri sikufahamu, unitetayo sikia Nakuonya uongo mbona haithamini elewa Unajitangaza u-mtenda mema, mengi kujisifia ya uongo, Watoto wamekukimbia nyumbani, umebaki na wajukuu pia watasambaa. Iliyobaki nitamuliza shemeji, kuna kasoro gani hapo nyumbani. -Aaah! …
Yah: Misukosuko ya kisiasa nchini ni kama 1953
Kuna wakati ambao ninawaza mpaka kichwa kinataka kupasuka, si kwa sababu yanayoendelea siyajui, la hasha! Bali ni kwa sababu yanakwenda kasi mno na kuniacha nikiwa bado njia panda. Maisha ni safari ndefu na ukibarikiwa umri mkubwa unafanikiwa kuyaona mengi na…