JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Tukio hili tunalitafsirije? (1)

Nimeshtuka sana na kuingiwa wasiwasi kusikia eti yupo mbunge amediriki kuandika barua kwenda Benki ya Dunia kutaka zuio la fedha za maendeleo ya elimu hapa nchini. Nasema nimeshtuka kwa vile aliyetenda hivyo ninamfahamu kama ni askari wa Jeshi la Akiba…

Tumsaidie Rais kazi ngumu ya kuliongoza taifa

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliwahi kusema kuwa urais ni kazi ngumu, akaifananisha na mzigo mzito. Nayaamini maneno hayo ya mzee wa Kizanaki. Nimejitoa wazi kutaka kumsaidia rais wetu kupambana na ugumu huu ninaouona. Kwa sababu rais anaongoza…

Wataalamu wabaini chanzo cha nzige Afrika Mashariki

Wanaitwa nzige wa jangwani na mtu angeweza kuhisi kuwa wanastawi sana katika maeneo ya jangwani, lakini si hivyo. Nzige hawa ambao hivi sasa wanalitesa eneo la Afrika Mashariki wanastawi sana katika maeneo yenye mvua nyingi. Kwa miezi kadhaa sasa nchi…

Ndugu Rais, tumepakwa majivu usoni moyoni tumebadilika?

Ndugu Rais, Jumatano ya majivu zamani tuliita sikukuu ya majivu. Kumbe ndiyo mwanzo wa mfungo wa Kwaresma. Kabla ya Kristu waliofunga walivaa magunia. Badala ya kujipaka majivu usoni, walijimwagia mwili mzima. Kila walipopita walijulikana kuwa wamefunga. Wote walihesabiwa kuwa ni…

Mola tuepushie maambukizi ya corona

Dunia imeshughulishwa na imeingiwa hofu kubwa juu ya tishio la maambukizi na kusambaa kwa virusi vya ugonjwa wa corona ambao wataalamu wa afya wameupa jina la (Covid-19), ambao umeiathiri sana nchi ya China kwa watu kupoteza maisha na kuwa na…

Ulawiti, ubakaji vyashika kasi Misungwi

Vitendo vya ulawiti kwa watoto wadogo, ubakaji na mimba katika umri mdogo vimeongezeka sana katika Wilaya ya Misungwi, mkoani Mwanza, JAMHURI limethibitishiwa. Takriban matukio 35 ya visa hivyo yameripotiwa kutokea ndani ya siku 60, kuanzia Januari Mosi hadi Februari 25,…