Category: Makala
Ndugu Rais, baba akicheza reggae na wanae kuna ubaya gani?
Ndugu Rais, nianze kwa kuwapa pole wanawema wote walioguswa na yaliyosemwa juu ya andiko langu katika mtandao. Ni kweli sina utaratibu wa kuingia katika mitandao mara kwa mara. Hata hivyo kwa haya yaliyotokea na kwa namna yalivyotokea, yamenifariji sana. Si…
Kwa nini Waislamu nchini wawe chini ya Bakwata? (1)
Bakwata ni kifupisho cha Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania, chombo cha kudumu kilichoundwa mwaka 1968 kuratibu, kusimamia na kuongoza shughuli zote za Waislamu nchini Tanzania (Tanzania Bara) kwa lengo la kutekeleza wajibu wa Waislamu wa kuendeleza na kuimarisha itikadi…
Si mwisho wa dunia lakini joto tunalisikia
Dini zote kuu hutaja siku moja ambayo maisha ya binadamu na matukio ya dunia yatafikia kikomo. Zinaonekana dalili kama tunakaribia huko. Nimekumbuka hili niliposikia tetemeko la ardhi likitikisa Butiama. Dini za chimbuko la Abrahamu zinafundisha kuwa mwisho wa kila kitu…
Hatua za kufuata unaponunua kiwanja/nyumba
Mara nyingi nimeandika kuhusu ardhi, hususan viwanja na nyumba. Katika kufanya hivyo, mara kadhaa nimejaribu kuwatahadharisha watu namna mbalimbali ya kisheria ya kuepuka kuingia katika migogoro ya viwanja na nyumba, hasa wakati wa kununua (wanunuzi). Nimewahi kueleza vitu vya msingi…
Kama umemsahau Mungu, umejisahau mwenyewe (2)
Ninaomba kukunong’oneza jambo hili: Usithubutu kumuacha Mungu kwa ajili ya chochote, bali acha chochote kwa ajili ya Mungu, kwa sababu katika maisha chochote chaweza kukuacha wakati wowote. Lakini Mungu atakuwa nawe siku zote za maisha yako. Siri kubwa ambayo unatakiwa…
Arobaini ni mwarubaini (2)
Wiki iliyopita tuliishia mahali ambapo tulianza kuwaangalia wale tunaowaita mashujaa wa imani walijipaka majivu. Majivu ni salio la moto, makazi yake ni jalalani. Ila yakisugua sufuria yenye masizi huifanya itakate! Japo tu dhaifu, tuna thamani zaidi ya sufuria. Majivu ya…