Category: Makala
Tusipende amani kwa kuisahau haki
Daima amani ni tunda la haki. Penye haki amani hutamalaki. Mwenye haki, kwa maana ya kutenda na kutendewa haki, mara zote huwa mpole na mtulivu. Kwa sababu sioni ni kitu gani kitamfanya akose utulivu kama haki yake haijaguswa. Kwa wakati…
Ubabe haujengi, hauna tija (1)
Huu ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu. Tutapata fursa nyingine ya kuwachagua viongozi wa kuendesha gurudumu letu la maendeleo kwa miaka mitano ijayo. Hapa nchini tunasema demokrasia ya kupokezana vijiti kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu. Mwaka huu tutachagua tena…
Waganda walizwa mabilioni ya fedha mtandaoni
Hakuna nchi ambayo raia wake wameathirika kwa kutapeliwa fedha zao kupitia teknolojia za kwenye mitandao kama Uganda. Wengi wamekwisha kufikia hatua ya kujiua baada ya kubaini kuwa wametapeliwa mabilioni ya fedha walizowekeza kupitia mitandao ya fedha za kidijiti (cryptocurrency). Mmoja…
Hatua za kutoa mzigo bandarini
Kutokana na uchumi wa viwanda unaoendelea kukua nchini, idadi ya wafanyabiashara wanaoagiza malighafi na mizigo kutoka nje kuja Tanzania inazidi kuongezeka. Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeliona hili na inaendelea kuboresha huduma zake kuhakikisha wafanyabiashara wanaagiza malighafi na…
Ndugu Rais, milioni 350 mbona chache?
Ndugu Rais, watuhumiwa wa makosa ya uchochezi, tukio lililotokea wakati wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kinondoni, ambao pia ulisababisha kuuawa kwa binti yetu, Akwilina Akwilini, msiba wake ambao hautakuja kusahaulika katika nchi hii, wamepatikana na hatia na wamehukumiwa. Tuhuma…
Kwa nini Waislamu nchini wawe chini ya Bakwata? (2)
Katika sehemu ya kwanza ya makala hii nilieleza kuwa Bakwata ni chombo cha kudumu kilichoundwa mwaka 1968 kuratibu, kusimamia na kuongoza shughuli zote za Waislamu nchini Tanzania (Tanzania Bara) kwa lengo la kutekeleza wajibu wa Waislamu wa kuendeleza na kuimarisha…