Category: Makala
CCBRT kituo pekee kinachotengeneza jicho bandia Tanzania
Na Stella Aron, JamhuriMedia Katika kuhakikisha kuwa wananchi wana afya bora, Serikali imeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutoa huduma za afya kwa kuzingatia sera na miongozo iliyopo. Sera ambayo imeendelea kutumika katika kuelekeza utoaji wa huduma za afya ilipitishwa mwaka…
Madaktari bingwa wa saratani watakiwa kutoa mapendekezo namna ya kutoa huduma bora
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Madaktari bingwa wa Saratani watakiwa kutoa mapendekezo na mikakati ya namna bora ya wagonjwa kuzifikia huduma sambamba na kupunguza rufaa zinazo epukika kwenda nje ya nchi kupata matibabu. Pia wametakiwa wataamu wa Saratani kujikita katika kufanya…
Huduma za Posta Afrika zaimarika, Mawaziri wakutana kuweka mikakati ya pamoja
Na Immaculate Makilika – MAELEZO “Mamilioni ya wahudumu wa posta wasafirisha mabilioni ya barua na vifurushi kupitia maelfu kwa maelfu ya ofisi za posta kote duniani na hivyo kuzihudumia na kuziunganisha jamii kote duniani”, ameeleza Katibu Mkuu wa Umoja wa…
Mifumo inavyowatenga watoto wa mitaani na kuwanyima haki zao
Na Hassan Aufi, JamhuriMedia Mtazamo wa Wataalamu wa Sosholojia (Sociologist) kuhusu tatizo la watoto wanaoishi na kufanyakazi mtaani, unaonyesha kuwa hali hii inajitokeza kutokana na kukosekana uimara kwenye mifumo ya kimalezi ya familia zetu na kwa kiasi kikubwa katika mifumo…
Upatikanaji dawa, vifaa tiba Muhimbili, Amana wafikia asilimia 97
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Hospitali ya Taifa Muhimbili na Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Amana Amana zimesema upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwa sasa ni asilimia 97. Akizungumza jijini Dar es Salaam Mfamasia wa Hospitali ya Muhimbili Nelson Faustine…
Biashara ya mkaa inavyochagiza uharibifu wa mazingira
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Ukataji wa miti ni changamoto katika jitihada za kulinda misitu hasa nchi zinazoendelea kwa sababu ya watu kukata miti kwa ajili ya mkaa, kuni pamoja na mbao . Athari za ukataji miti ni nyingi na katika hatua…