JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Huduma za Posta Afrika zaimarika, Mawaziri wakutana kuweka mikakati ya pamoja

Na Immaculate Makilika – MAELEZO “Mamilioni ya wahudumu wa posta wasafirisha mabilioni ya barua na vifurushi kupitia maelfu kwa maelfu ya ofisi za posta kote duniani na hivyo kuzihudumia na kuziunganisha jamii kote duniani”, ameeleza Katibu Mkuu wa Umoja wa…

Mifumo inavyowatenga watoto wa mitaani na kuwanyima haki zao

Na Hassan Aufi, JamhuriMedia Mtazamo wa Wataalamu wa Sosholojia (Sociologist) kuhusu tatizo la watoto wanaoishi na kufanyakazi mtaani, unaonyesha kuwa hali hii inajitokeza kutokana na kukosekana uimara kwenye mifumo ya kimalezi ya familia zetu na kwa kiasi kikubwa katika mifumo…

Upatikanaji dawa, vifaa tiba Muhimbili, Amana wafikia asilimia 97

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Hospitali ya Taifa Muhimbili na Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Amana Amana zimesema upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwa sasa ni asilimia 97. Akizungumza jijini Dar es Salaam Mfamasia wa Hospitali ya Muhimbili Nelson Faustine…

Biashara ya mkaa inavyochagiza uharibifu wa mazingira

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Ukataji wa miti ni changamoto katika jitihada za kulinda misitu hasa nchi zinazoendelea kwa sababu ya watu kukata miti kwa ajili ya mkaa, kuni pamoja na mbao . Athari za ukataji miti ni nyingi na katika hatua…

Elimu afya ya uzazi kwa vijana itakavyomaliza mimba zisizotarajiwa

Na Stella Aron JamhuriMedia Suala la afya ya uzazi lina mchango mkubwa sana katika kutimiza ajenda ya maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa ifikapo mwaka 2030. Suala hii linaenda sanyari na idadi ya watu, rasilimali zinazohitajika na hata mustakabali wa…

Ukosefu wa ofisi za madini Tarime, changamoto kwa wachimbaji

Na Helena Magabe, JAMHURI MEDIA Tarime. UKOSEFU wa ofisi za madini Wilayani Tarime ni changamoto kubwa kwa wachimbaji na wamiliki wa mashimo ya dhahabu. Licha ya kuwa Wilaya hii imejaliwa na Mwenyezi Mungu kuwa na madini ya dhahabu karibia kila…