JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Mtoto asipowatunza wazazi apewe ‘polisi oda’

“Mheshimiwa Mwenyekiti, usipopeleka mwanao shule, utashitakiwa. Lakini mtoto akipata kazi, wewe hakutumii hela, hauwezi kumshitaki. Hauruhusiwi kwenda polisi kulalamika, hauruhusiwi kwenda dawati la jamii. Haiwezekani. “Mzazi anaposomesha mtoto wake, anapomwomba pesa au anapopiga simu, watoto hawapokei. Mheshimiwa Mwenyekiti, tunaomba Wizara…

Yah: Naamini corona nayo itapita

Nimejifungia hapa ndani wiki ya tatu sasa, ninadhani kwa sababu ninaelewa kauli za viongozi wangu juu ya afya na kujikinga dhidi ya maradhi haya yaliyojitokeza nchini.  Tumeambiwa kabisa wazee tuko kwenye hatari zaidi ya kuumwa na kupoteza maisha kama tukishikwa…

Mafanikio katika akili yangu (24)

Toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: Akakumbuka alivyokutana naye alivyomwangalia kwa macho ya dharau na maneno machafu, hii ilikuwa baada ya Noel kumwambia yeye ni mwandishi. “Wewe mwandishi gani? Huoni waandishi wengine wanapendeza?’’ alizungumza binti yule kwa madoido na kujikweza…

Ni haki yako kuijua Sheria ya Mirathi (2)

Karibu katika safu hii mahususi kwa ajili ya kukumbushana na kuelimishana mambo kadhaa yahusuyo sheria mbalimbali, kwa sasa tukiitazama kwa undani Sheria ya Mirathi. Kuifahamu vema sheria hii kutakupa nafasi ya kuepukana na mianya ya uonevu iliyokithiri katika baadhi ya…

MAISHA YANAPOKUPATIA LIMAU, TENGENEZA JUISI YA LIMAU (2)

Maisha yakikupatia pilipili, tengeneza chachandu Kahawa haikujua kama ni nzuri kabla haijakutana na sukari na maziwa. Pilipili pia haikujua kama ina ladha murua kabla haijakutana na nyanya. Chachandu ni mchanganyiko wa mchemsho wa nyanya zilizosagwa na pilipili. Chachandu hutumika kama…

Mtunzi maarufu lakini mwingi wa mizaha

Maandishi ya historia za watu wengi maarufu yanajikita kuelezea maisha yao ya kawaida lakini maisha kama tunavyoyafahamu yana mambo mengi sana, hata hao watu maarufu wana visa na vituko vingi ambavyo ni nadra sana kuonekana katika maandiko kuhusu maisha yao….