Category: Makala
Rais Samia Suluhu: Mjenzi makini wa demokrasia
Na Mwalimu Paulo Mapunda Kamusi ya Kiswahili Sanifu, Toleo la Pili la mwaka 2004, inaeleza maana ya neno “Demokrasia” kuwa ni mfumo wa kuendesha serikali iliyochaguliwa na watu kwa manufaa ya watu. Hivyo uhalali wa serikali yoyote ya kidemokrasia unatokana…
BoT yawaondoa hofu wananchi
DAR ES SALAAM Na Costantine Muganyizi Licha ya kuwapo changamoto hasa za kibiashara zinazotokana na athari za janga la virusi vya corona duniani, mwenendo wa uchumi wa taifa unaridhisha na kuleta matumaini ya kuzidi kuimarika kuanzia mwaka huu. Hiyo ni…
TASAF yajipanga kuongeza umakini
KATAVI Na Walter Mguluchuma Mfuko wa Maendeleo na Hifadhi ya Jamii (TASAF) umeandaa mkakati makini katika kuwabaini wanufaika halali wa mfuko huo. Akizungumza wakati wa kikao kazi cha kuwajengea uelewa wawezeshaji na madiwani wa Halmashauri ya Mpimbwe, mkoani Katavi, Ofisa…
Serikali chombo cha mamlaka tukiheshimu
Ipo dhana kwa baadhi ya watu hapa nchini kwamba Serikali ni Kiongozi Mkuu wa Nchi, kwa maana ni Rais. Ni dhana ambayo mara kadhaa imezusha malumbano ya kisiasa na kijamii kwa fikra kwamba Rais ni mtu. Iko haja tena ya…
Maisha ni mtazamo
Mafanikio yanategemea mtazamo. Kushinda kunategemea mtazamo. Furaha inategemea mtazamo. Shukrani inategemea mtazamo. Umaskini unategemea mtazamo. Utajiri unategemea mtazamo. Amani inategemea mtazamo. “Mtazamo ni jambo dogo lakini linafanya tofauti kubwa,” alisema Winston Churchill. Kinachowatofautisha wavumilivu na waliokata tamaa ni jambo dogo…
Yah: Tusipozuia mapema itatugharimu siku zijazo
Nianze waraka wangu kwa kuwakumbusha kuwa sasa ni rasmi tunaelekea kuugawa mwaka, wenye malengo yao naamini wanafanya tathmini walipo na wale ambao walisherehekea mwaka kwa kuangalia tarehe, labda hawana chochote cha kufanyi tathmini zaidi ya kusubiri tarehe ya mwaka mpya….