JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Uislamu unahimiza ‘Wasatwiyya’ – (1)

Makala yetu leo inatudai fasili ya neno ‘Wasatwiyya’ ambalo ni sehemu ya anuani yake. ‘Wasatwiyya’ ni neno la Kiarabu linalotokana na maneno ‘Wastwu’ na ‘Wasatwu’. Neno ‘Wastwu’lina maana ya kati na kati na neno ‘Wasatwu’ lina maana ya ubora. Kiujumla, neno ‘Wasatwiyya’ linapata…

WADUNGUAJI HATARI KUMI Thomas Plunkett: Alimuua Jenerali wa Kifaransa

Kuanzia leo safu hii itakuletea orodha ya watu kumi wanaotajwa kuwa ni wadunguaji hatari duniani. Udunguaji ni taaluma maalumu inayotumiwa na aghalabu askari, kulenga shahaba na kuwapiga risasi watu au vitu vilivyo katika umbali ambao kwa kawaida ni vigumu kulenga…

Neno ‘kustaafu’ nalo ni tatizo!

Joe Beda Rupia Kustaafu ni kama kifo. Ndiyo. Ukianza kazi siku ya kwanza tu, unaanza safari ya kustaafu. Hakika utastaafu na neno hili linaweza kuwa chanzo cha tatizo. Sawa. Kwa wiki mbili zilizopita nimekuwa nikiandika tanzia; kwanza ya Jenerali Tumainiel…

Mke kutoa matunzo kwa mume likoje kisheria?

Na Bashir Yakub Kisheria ndoa inapokuwa imefungwa kuna haki za msingi ambazo huibuka. Hizi huitwa haki za moja kwa moja (automatic right).  Huitwa haki za moja kwa moja kwakuwa hazina uhiari katika kutekelezwa kwake.  Kuwapo kwa ndoa ndiko kuwapo kwake, hivyo haihitaji mtu kuziomba. Kimsingi haki hizi zipo nyingi, ambapo tutaona baadhi yake hapa, huku makala ikijikita katika haki moja ya matunzo kwa wanandoa.          1. Baadhi ya haki zinazoibuliwa na ndoa                               (a) Haki ya tendo la ndoa.  Hii ni haki ya lazima kwa wanandoa na kutokuwapo kwake kunaweza kubatilisha ndoa iwapo mmoja wa wanandoa ataamua kufanya hivyo. Ni haki ambayo huchukuliwa kama ndiyo ndoa yenyewe, hivyo kuifanya kuwa na umuhimu wa pekee. ( b ) Haki ya kutumia jina la mume. Hii  ni haki aliyonayo mwanamke ambapo anaruhusiwa kutumia jina…

Kodi ya simu za mkononi haiepukiki

Na Deodatus Balile Alhamisi, Aprili 10, 2021 Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, aliwasilisha Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022.  Kwanza kabla sijaijadili bajeti hii, naomba nimshukuru Mheshimiwa Spika wa Bunge, Job Ndugai, kwa kulialika Jukwaa la Wahariri…

Uwekezaji: Fursa ya kuichangamkia – (2)

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wiki iliyopita tulitazama namna ambavyo kampuni ya uwekezaji wa pamoja inayomilikiwa na serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango inavyofanya tathmini na utafiti wa kina kabla ya kuwekeza fedha zilizokusanywa. Endelea… Tofauti ni nyingi,…