JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Wagonjwa wanne waliopandikizwa figo Mloganzila waruhusiwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila kwa mara nyingine kwa mafaniko makubwa kwa kushirikiana na Korea International Foundational for Health Care na Africa Future Foundation imefanya upandikizaji wa figo kwa wagonjwa wanne ambao figo…

UN : Biashara na matumizi dawa za kulevya ni uhalifu dhidi ya utu na heshima ya binadamu

*Guterres asema nchi nyingi zenye kipato cha chini zina mifumo dhaifu TANGU mwaka 1989, Jumuiya ya Kimataifa imekuwa ikiadhimisha Siku ya Kupambana na Biashara na Matumizi Haramu ya Dawa za Kulevya Duniani kila Juni 26. Ofisi ya Umoja wa Mataifa…

RRH zashauriwa kufanya maboresho kama Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waganga Wafawidhi wa Hospitali za Rufaa za Mikoa na Waganga Wakuu wa Wilaya wameshauriwa kuiga mfano wa maboresho yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa lengo la kuboresha hospitali hizo zaidi ya ilivyo…

Ukweli kuhusu uzazi wa mpango ushirikishe wanaume kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi

Na Stella Aron, JamhuriMedia Mfumo dume ni kikwazo kimojawapo katika suala la ushiriki wa afya ya uzazi na kuchangia baadhi ya wanawake kutumia njia ya uzazi wa mpango kwa njia ya kificho na usiri. Mecy Haule (46) (si jina lake…

Serikali, wadau waimarisha ushirikiano utoaji huduma ya afya ya akili

Na WMJJWM, JamhuriMedia, Arusha Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeimarisha uratibu na ushirikiano katika kutekeleza shughuli za utoaji wa huduma ya afya ya akili na msaada wa kisaikolojia (MHPSS) nchini. Hayo yamesemwa na Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii…

CCBRT kituo pekee kinachotengeneza jicho bandia Tanzania

Na Stella Aron, JamhuriMedia Katika kuhakikisha kuwa wananchi wana afya bora, Serikali imeendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutoa huduma za afya kwa kuzingatia sera na miongozo iliyopo. Sera ambayo imeendelea kutumika katika kuelekeza utoaji wa huduma za afya ilipitishwa mwaka…